Huyo mzungu yupo sahihi, unatengeneza vipi uchumi wa kati wakati unaua middle income earners na makodi yasiyo na kichwa wala miguu. Mfano, mfanyakazi anakatwa PAYE kila mwezi na wakati huo huo analipia VAT kwenye kila bidhaa na huduma anayotumia, hapo hapo kila siku anawindwa na trafiki atoe pesa ya kubrashia viatu. Eti tunatengeneza uchumi wa kati. PATHETICHuyu Mzungu nimemuelewa sana