Darasa la kupigilia pamba kijanja

Kuhusu saa hapo sikuelewi Kwa kweli nna kidonda cha pesa ndefu lkn mikanda yake ni ya mpira uniambie haifai kuvaa na suti?
Plastiki ni plastiki tu
Huko ni kutoka kuinajisi suti yako

Nimetoa ushauri tu siyo sheria
Hivyo unaweza kufuata au kutoufuata
SAA ni yako,suti ni yako sikupangii jinsi ya kuvaa
 
Tafuteni pesa. Huo umaridadi bila kuwa na hela mfukoni ni kutaka tu uonekane na wewe humo. Ukiwa na hela utamuajiri hata stylish. Watu ambao wanajaribu kuvaa ku impress mara nyingi wanafidia kile ambacho hawana...
 
Tafuteni pesa. Huo umaridadi bila kuwa na hela mfukoni ni kutaka tu uonekane na wewe humo. Ukiwa na hela utamuajiri hata stylish. Watu ambao wanajaribu kuvaa ku impress mara nyingi wanafidia kile ambacho hawana...
Mdau kuvaa vizuri/usmart ni kipaji au tabia ya mtu tu haina uhusiano na pesa
Umaridadi wa mtu una faida zake
Mbona kuna watu wana pesa lakini hawajui kuvaa ?...angalia uvaaji wa mkubwa flani hivi ulivyo kituko
Lengo la uzi ni kupeana maarifa kuhusu fasheni/mitindo kama unavyoona hapa ndo jukqaa husika ishu za kutafuta pesa linapatikana jukwaa la uchumi,kilimo n.k
 
Mdau kuvaa vizuri/usmart ni kipaji au tabia ya mtu tu haina uhusiano na pesa
Umaridadi wa mtu una faida zake
Mbona kuna watu wana pesa lakini hawajui kuvaa ?...angalia uvaaji wa mkubwa flani hivi ulivyo kituko
Lengo la uzi ni kupeana maarifa kuhusu fasheni/mitindo kama unavyoona hapa ndo jukqaa husika ishu za kutafuta pesa linapatikana jukwaa la uchumi,kilimo n.k
Nitajie faida? Kupata mademu, kusifiwa, kuonekana una hela wakati huna hela...Kuvaa vizuri ni relative. Unaweza ukawa unavaa vizuri relative to watu wanakuzunguka. Lakini ukienda kwenye class nyingine ukaonekana unavaa ovyo..Kuvaa ni pesa unless unazungumzia kuvaa midosho ya kariakoo. Sasa usije ukalazimisha kuvaa vizuri wakati uwezo huna. Kuna watu wapo radhi wakose chakula lakini waonekane maridadi mtaani. Hii ni kutaka uonekane upo juu kwa wengine. Mfano ni wacongoman wanapenda sana umaridadi laki watembelee wanapoishi ndo utajua umaridadi wao ni bure. Umaridadi bila pesa ni kujitia stress tu. Just vaa descent but don't overdress to impress other to think something you are not. Na wengi ambao wanawaza category hii ya mavazi ndo kinachowasukuma So far Bongo ni maduka machache sana yanayouza nguo za maana. Yaliyobaki ni malapu lapu tu.
 
Nitajie faida? Kupata mademu, kusifiwa, kuonekana una hela wakati huna hela...Kuvaa vizuri ni relative. Unaweza ukawa unavaa vizuri relative to watu wanakuzunguka. Lakini ukienda kwenye class nyingine ukaonekana unavaa ovyo..Kuvaa ni pesa unless unazungumzia kuvaa midosho ya kariakoo. Sasa usije ukalazimisha kuvaa vizuri wakati uwezo huna. Kuna watu wapo radhi wakose chakula lakini waonekane maridadi mtaani. Hii ni kutaka uonekane upo juu kwa wengine. Mfano ni wacongoman wanapenda sana umaridadi laki watembelee wanapoishi ndo utajua umaridadi wao ni bure. Umaridadi bila pesa ni kujitia stress tu. Just vaa descent but don't overdress to impress other to think something you are not. Na wengi ambao wanawaza category hii ya mavazi ndo kinachowasukuma So far Bongo ni maduka machache sana yanayouza nguo za maana. Yaliyobaki ni malapu lapu tu.
OK
 
Mi nikivaaga tracksuit napendeza hasa za njano.
Hahahah.... Nimevuta picha, nimejikuta hupendeziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, na pengine unawachosha marafiki zako ila wanaogopa kukwambia ukweli kuwa hupendeziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,
NJANO4.jpg


njano15.jpg
 
Hahahah.... Nimevuta picha, nimejikuta hupendeziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, na pengine unawachosha marafiki zako ila wanaogopa kukwambia ukweli kuwa hupendeziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,
NJANO4.jpg


njano15.jpg
Hahahahaa wewe jambazi kweli
 
Back
Top Bottom