Nina dogo anasoma shule hizi za kulipia std 7 ee bhana wanasoma kuanzia saa 12 asbh wanapumzika saa nne muda kidogo tu saa nne na nusu wanarudi darasani mpaka saa nane.
Wanaenda kula wakirudi wanasoma tena mpaka 12 jioni wanaenda kula wanarudi tena mpaka saa tatu usiku. Hivi hata shule zingine wanasoma hv maana nilimuuliza mkuu wa shule akaniambia mambo ni mengi kuliko muda uliopo.
Nikiwaza me nilivyosoma na nikapasua mpaka lakini kizazi hiki kinalishwa mpaka ubongo unakomaa akiwa mdogo..je shule zingine wanasoma hv kwa madarasa ya mitihani au ndio kuizinisha tu ulipaji aa ada kubwa.
Wanaenda kula wakirudi wanasoma tena mpaka 12 jioni wanaenda kula wanarudi tena mpaka saa tatu usiku. Hivi hata shule zingine wanasoma hv maana nilimuuliza mkuu wa shule akaniambia mambo ni mengi kuliko muda uliopo.
Nikiwaza me nilivyosoma na nikapasua mpaka lakini kizazi hiki kinalishwa mpaka ubongo unakomaa akiwa mdogo..je shule zingine wanasoma hv kwa madarasa ya mitihani au ndio kuizinisha tu ulipaji aa ada kubwa.