Ngoja mwalimu akuweke sawa mwanadarasa, ni wajibu wa mwalimu kutumia ukali pale unapohitajika ili akili ipate
stimulus. Usichanganye, masomo anayoyatoa mwalimu si kama
mihadhara au
mahubiri ya dini, hii ni shule ama
elimu kama elimu zingine unzazozijua. Ni sawa na mtu anavyoanza elimu ya awali mpaka chuo, hata elimu hii iko hivyo utofauti wake ni kwamba wewe mtanzania haijarasmishwa kwako, kutokana na wengi kutoijua na wanaoijua wameamua kubaki nayo bila kuwafikishia watu.
Kwanini watu wanaoijua wanashindwa kuwapa wanajamii? Sababu ya
kwanza Nature ya watanzania, watanzania wamejengwa katika msingi wa kutokutaka kuyajua maarifa, baadhi ya misingi waliyokaririshwa ndiyo wanayoiona thabiti na hivyo kushindwa kuiruhusu akili kupokea maarifa mapya.
Changamoto ya
pili kazi kubwa iliyonyuma ya kuifanya elimu hii mwingine aweze kuielewa, kuna kazi kubwa ya kuileta katika lugha ambayo mtanzania wa kawaida ataielewa kwa maana ya lugha ya kiswahili, wengi wameipata kutoka lugha za
kigiriki, kilatini na kiingereza. Hivyo ni gharama kubwa kuiandaa inahitaji nguvu akili na muda mwingi sana.
Elimu hii ina vitu vingi sana kuliko unavyofikiri, mwalimu vitu alivyovigusia ni vidogo sana asilimia 5 ya 100 lakini nguvu ya hiyo asilimia 5 ya mia kwa mwenye akili ameweza kupata kitu cha ziada kwa masomo yote mwalimu aliyoyatoa.
Ukombozi wa kifikra ni mkubwa sana, kuliko unavyofikiri wanaobahatika kuifahamu elimu hii wanatamani siku zirudi nyuma ili wabadilishe mfumo mzima wa maisha. Na mengine mengi ambayo mwalimu hataweza kuyamaliza yote kuyaongea hapa.
Tuhamie upande wa pili uwe makini hapa, katika suala zima la kuelimika, si suala la wewe kulazimishwa hii ni kwa yule ambae ataona umuhimu wa kuelimika, hivyo elimu yoyote inayotolewa siyo ya watu wote ni ya watu wachache wenye utayari wa kuijua. Mwalimu anatoa mwendelezo wa masomo haya, kwa kuendelea kufundisha kwenye group aliloliunda, hakuombi, wala kukubembeleza wala kukulazimisha kuja kujiunga yule mwenye kuhitaji kujifunza haya atamtafuta mwalimu.
Masomo haya sio simulizi au hadithi bali ni
science ya maisha, mwalimu msaada wake ni kujitolea kukufikishia elimu hii ambapo wengi pamoja na kuijua kwao wamesita kuitoa, gharama ya
muda akili na nguvu ya mwalimu acha iwe juu yake basi jiandalie mwenyewe hata nakala bado ushindwe unahitaji mwalimu akuandalie aje akuletee hadi nyumbani kwako!!,
so much amaizing Tanzania ina baadhi yawatu wa ajabu sana kuwahi kutokea juu ya uso wa dunia hii.
Mwenye nia ya kupata mapinduzi ya kifikra mtafute mwalimu, mwalimu anahitaji watu serious wa kuhakikisha mind za watanzania zinabadilika haijalishi wewe peke yako unajimudu basi saidia elimu hii iende na wengine wajimudu, kuna raha gani ya wewe kula kushiba wakati jirani yako anakufaa njaa. 21-37% za watanzania ni maskini wa kutupwa, kujinasua na hili hakutawezekana bila kubadili
attitude of mind. Ada ya elimu hii kwa huyu mtanzania tunayetaka aelimike hataiweza, lakini kushindwa kutoa mia mbili kwa ajili ya kuyaweka haya kwa ajili ya vizazi vyako ni
ujinga, amka mtanzania.
Naomba WhatsApp nifwatwe na
watu wenye ubongo wenye akili na si vichwa vyenye ubongo.
H. Faraday.