Crucial Man JF-Expert Member Joined Jan 11, 2011 Posts 3,404 Reaction score 1,312 Jul 8, 2011 #41 waunganishe tanganyika na zenj na daraja kama hili.
Papa Mopao JF-Expert Member Joined Oct 7, 2009 Posts 4,157 Reaction score 2,663 Jul 8, 2011 #42 Osodo George said: waunganishe tanganyika na zenj na daraja kama hili. Click to expand... Ni ndoto sana aisee! Zanzibar yenyewe wana mawazo ya kujitenga sembuse daraja?
Osodo George said: waunganishe tanganyika na zenj na daraja kama hili. Click to expand... Ni ndoto sana aisee! Zanzibar yenyewe wana mawazo ya kujitenga sembuse daraja?
Anko Sam JF-Expert Member Joined Jun 30, 2010 Posts 3,254 Reaction score 906 Jul 9, 2011 #43 Kumbe dawa ni kuhamia China, hapa Bongo na wabunge wetu hawa-hakutapatikana maendeleo zaidi ya ufisadi!
Kumbe dawa ni kuhamia China, hapa Bongo na wabunge wetu hawa-hakutapatikana maendeleo zaidi ya ufisadi!
Raia Fulani JF-Expert Member Joined Mar 12, 2009 Posts 11,866 Reaction score 4,252 Jul 9, 2011 #44 bado kidogo sana watu wataanza kujivunia kusema naenda/niko/nilikuwa/natokea China
wallusm Member Joined Sep 29, 2012 Posts 31 Reaction score 26 Nov 6, 2012 #45 Duuh! Duniani kunatisha