KJ07
JF-Expert Member
- Dec 17, 2021
- 2,243
- 5,000
Hili suala la kufunga daraja kwa ajili ya mechi ya UEFA limekaaje kitaalam mbona kama haliko sawa hivi.
Serikali iko wapi maana hili sio la kufumbia macho.
Huduma muhimu zinasitishwa kwa ajili ya anasa.
Je? daraja lilijengwa ili iwe ni sehemu ya kuangalizia mpira.
Serikali iko wapi maana hili sio la kufumbia macho.
Huduma muhimu zinasitishwa kwa ajili ya anasa.
Je? daraja lilijengwa ili iwe ni sehemu ya kuangalizia mpira.