Kwa sasa hata mfumue hiyo SGR yote na kuanza upya au kusitisha kabisa haijalishi kitu maana mlizima upinzani, hakuna wa kuhoji tena, na mtakoma miaka mitano ijayo.......muhimu muonje nini moto wa kuishi bila ya mtu yeyote kuhoji madudu yanayotendeka.
Mkae mkishuhudia namna Kenya inavyopepea ndio mpate akili....
Tutapata za Joe Biden mkuu, aliyekuwa anatuletea gozigozi na kutuita shit hole countries katimuliwa Ikulu kama mwiziDaraja la Nkuramah kama sijakosea ndio limebomolewa upande mmoja wa support,kukamilika ni ngumu sana Seth na Rugememarira wamekataa kukiri kosa hivyo pesa ya kumalizia hakuna sehem nyingine ya kutoa, ikimbukwe fedha kutoka kwa wafanyabisahara zimechukuliwa zote mradi haukuisha, fedha kutoka Bureau zote zilichukuliwa mradi haujaisha kwa sasa tunasubiri pesa kutoka Mbinguni
Hapa sasa ndiyo nimekuekewa kwamba ni wale wale mapimbi mlioshikiwa akili pale lumumba.Pita na ukicha wako kule mekaa kama vicha nisinge pigia kura tahir mm yani kujenga ofisi mnachukua miaka 25 bado ni bora ya choo changu uko hapa unaongea ujinga tu...
Tony254
Uchaguzi Tanzania 2020 umevurugwa na itaongezea miradi mingi mikubwa kama SGR kushindwa kukamilika ndani ya muda uliopangwa kutokana na wadau-wa-Maendeleo toka nje kukerwa na mchakato mzima wa uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2020 hivyo kuzuia grants, loans, PPP financing projects n.k
Ripoti ya Mhandisi wa TRC mwaka 2019 Mradi wa SGR kuchukua angalau miaka 15 kukamilika :
Mhandisi: Reli ya SGR mpya kuchukua miaka 15 kumalizika
18 September 2020 SABABU ZA TUNDU LISSU KUTAKA UJENZI WA RELI RUKWA, KATAVI NA SONGWEwww.jamiiforums.com
29 October 2020
TUMEPANGA KUNUNUA VICHWA VYA TRENI 39, TUNATAKA TRC IWE MFANO AFRIKA
Source : TRC RELI TV
umekaa wapi unasubiri ulichoandika kitimie dada yangu???
utazeekea hapo.kimsingi ndio inakwenda kujengwa miradi mikubwa kuliko wakati wowote nchini.
Geopolitics : politics, especially international relations, as influenced by geographical factors.
Wawekezaji wanakimbizwa kwa style hii?GeoPolitics ya CCM Mpya kuifanya Tanzania taifa-kubwa imefeli kwa CCM Mpya kuibomoa nafasi yake Tanzania kuwa eneo la kimkakati kiuchumi, kisiasa na kikanda kwa CCM Mpya kuibomoa nyumba yake mwenyewe kama inavyosimuliwa ktk Biblia kuwa mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Nini CCM Mpya katika uhalisia imefanya kuiua nafasi hiyo? Tanzania imejijingea maadui wa kufikirika kikanda mfano kikanda, kimataifa imetafuta mabeberu wa kufikirika ambao ni maruhani, ndani ya nchi imeua demokrasia, uhuru na haki na hivyo kukimbiza wawekezaji wa ndani, wawekezaji wa kikanda na wawekezaji wakubwa wa kimataifa.
Wawekezaji wanazidi kukimbia kweliGeoPolitics ya CCM Mpya kuifanya Tanzania taifa-kubwa imefeli kwa CCM Mpya kuibomoa nafasi yake Tanzania kuwa eneo la kimkakati kiuchumi, kisiasa na kikanda kwa CCM Mpya kuibomoa nyumba yake mwenyewe kama inavyosimuliwa ktk Biblia kuwa mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Nini CCM Mpya katika uhalisia imefanya kuiua nafasi hiyo? Tanzania imejijingea maadui wa kufikirika kikanda mfano kikanda, kimataifa imetafuta mabeberu wa kufikirika ambao ni maruhani, ndani ya nchi imeua demokrasia, uhuru na haki na hivyo kukimbiza wawekezaji wa ndani, wawekezaji wa kikanda na wawekezaji wakubwa wa kimataifa.
Wawekezaji wa akimbia sio mchezoGeoPolitics ya CCM Mpya kuifanya Tanzania taifa-kubwa imefeli kwa CCM Mpya kuibomoa nafasi yake Tanzania kuwa eneo la kimkakati kiuchumi, kisiasa na kikanda kwa CCM Mpya kuibomoa nyumba yake mwenyewe kama inavyosimuliwa ktk Biblia kuwa mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Nini CCM Mpya katika uhalisia imefanya kuiua nafasi hiyo? Tanzania imejijingea maadui wa kufikirika kikanda mfano kikanda, kimataifa imetafuta mabeberu wa kufikirika ambao ni maruhani, ndani ya nchi imeua demokrasia, uhuru na haki na hivyo kukimbiza wawekezaji wa ndani, wawekezaji wa kikanda na wawekezaji wakubwa wa kimataifa.
Wawekezaji wanatimkaGeoPolitics ya CCM Mpya kuifanya Tanzania taifa-kubwa imefeli kwa CCM Mpya kuibomoa nafasi yake Tanzania kuwa eneo la kimkakati kiuchumi, kisiasa na kikanda kwa CCM Mpya kuibomoa nyumba yake mwenyewe kama inavyosimuliwa ktk Biblia kuwa mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Nini CCM Mpya katika uhalisia imefanya kuiua nafasi hiyo? Tanzania imejijingea maadui wa kufikirika kikanda mfano kikanda, kimataifa imetafuta mabeberu wa kufikirika ambao ni maruhani, ndani ya nchi imeua demokrasia, uhuru na haki na hivyo kukimbiza wawekezaji wa ndani, wawekezaji wa kikanda na wawekezaji wakubwa wa kimataifa.
Wawekezaji wanatimka
Kama ndivyo basi tukubali kwamba hapo kuna uzembe kwa sababu mradi wa Flyover ya KAMATA unafahamika since 2014... sasa how come leo tunaambiwa ikaleta shida ya kujenga flyover wakati hilo suala linafahamika for years now?!Kilicho bomolewa sio daraja ni upande moja wa cable stayed bridge sababu ya muingiliano pale kamata ikumbukwe kuna flyover inatakiwa kujengwa , kuna meter gauge inapita chini pia SGR viaduct so ikaleta shida jinsi ya kujenga flyover , wakati unapiga domo ujue viaduct ilianza kujengwa kabla ya design ya flyover
Wawekezaji ndukiiGeoPolitics ya CCM Mpya kuifanya Tanzania taifa-kubwa imefeli kwa CCM Mpya kuibomoa nafasi yake Tanzania kuwa eneo la kimkakati kiuchumi, kisiasa na kikanda kwa CCM Mpya kuibomoa nyumba yake mwenyewe kama inavyosimuliwa ktk Biblia kuwa mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Nini CCM Mpya katika uhalisia imefanya kuiua nafasi hiyo? Tanzania imejijingea maadui wa kufikirika kikanda mfano kikanda, kimataifa imetafuta mabeberu wa kufikirika ambao ni maruhani, ndani ya nchi imeua demokrasia, uhuru na haki na hivyo kukimbiza wawekezaji wa ndani, wawekezaji wa kikanda na wawekezaji wakubwa wa kimataifa.
Wanafikiri watanzania ni vipofu, hivi utamuambia mtanzania kwamba serikali haifanyi kazi akakuelewa wakati miradi kila kona ya nchi inafanyika, hawa watu akili hawana.hizi siasa zao nyeusi ndio zimefanya watz wawakatae safari hii kwenye uchaguzi.
Kipofu kama ww huna uwezo wa kuelewa zaidi ya kuonyesha viemotions vyako...like i give a shitHapa sasa ndiyo nimekuekewa kwamba ni wale wale mapimbi mlioshikiwa akili pale lumumba.
Unaongea kama kakako lisunge...sasa subiri wanaume wakuonyeshe kazi....sita shanga ukiwa bado fukara ...sababu kitu unajua ni kuplay safeGeoPolitics ya CCM Mpya kuifanya Tanzania taifa-kubwa imefeli kwa CCM Mpya kuibomoa nafasi yake Tanzania kuwa eneo la kimkakati kiuchumi, kisiasa na kikanda kwa CCM Mpya kuibomoa nyumba yake mwenyewe kama inavyosimuliwa ktk Biblia kuwa mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Nini CCM Mpya katika uhalisia imefanya kuiua nafasi hiyo? Tanzania imejijingea maadui wa kufikirika kikanda mfano kikanda, kimataifa imetafuta mabeberu wa kufikirika ambao ni maruhani, ndani ya nchi imeua demokrasia, uhuru na haki na hivyo kukimbiza wawekezaji wa ndani, wawekezaji wa kikanda na wawekezaji wakubwa wa kimataifa.
Uchunguzi wangu wa kina umebaini kuwa kuna sehemu la daraja la SGR hapo Dar limebomolewa. Hii ni kwa sababu ya planning mbaya ya serikali ya Tanzania.
Mnajenga miradi ovyo ovyo bila kukaa chini na kufanya planning. Sasa daraja la reli linabomolewa kwa sababu linakinga flyover.
Hili daraja lililobomolewa litachukua zaidi ya mwaka moja kulijenga tena. Mradi huu ulikuwa ukamilike mwaka uliopita lakini sasa sioni ukikamilika hadi Yesu arudi.
Yaani kilomita 200 ya reli imewashinda kabisa kujenga na bado mnataka kushindana na Wakenya? Mbona msimalize ujenzi wa kilomita hizi chache kabla hamjakuja huku kulinganisha
Watu walio Dar wekeni picha.
Wewe huwa una tabia mbaya ya kubatiza kila mwanaume huku JF kuwa mwanamke. Nani amekuambia kuwa bagamoyo ni mwanamke? Hii sio mara ya kwanza wewe kufanya hivi.umekaa wapi unasubiri ulichoandika kitimie dada yangu???
utazeekea hapo.kimsingi ndio inakwenda kujengwa miradi mikubwa kuliko wakati wowote nchini.
Mkuu acha wapumbavu waropoke. hii shule uliyowapa umepoteza nguvu zako bure. Tunawaambia kuwa tayari imeisha hiyooo na kibaraka wao tayari kafungiwa chumbani ubalozini. Yanayoendelea huko, hatujui.