Daraja la NSSF Kigamboni ndio karavati?

Daraja la NSSF Kigamboni ndio karavati?

Mwl. J. K. Nyerere bridge. It's official. Hata kama walijenga NSSF.
 
Hv wakutugenzi wanapoteuliwa upewa target nini kipimo cha ufanisi wao.
Ninachoona tanzania hakuna research and development instute for goverment zaidi ya kuwategemea hawa wachumi wa wizara ya viwanda na biashara na unaweza kukuta ni mawazo ya mtu mmoja tu.

Redio ya clouds wameanzisha kipindi na artel kinaitwa fursa , ukiangalia ni individual level lakini kwa taifa tunahitaji ya taifa. Na hili litapelekea taasisi kuomba kuwekeza kwenye miradi mikubwa kwa kubase kwenye tafiti na tathmin za hiyo taasisi.
 
Hiyo sentensi ya mwisho CC ndiyo imenivunja mbavu, Yaani FaizaFoxy utamuona soon hapa jamvini na ujiandae.Aisee nashindwaga kujua amejitendenezea software ambayo ameintegrate na JF kuwa akitajwa tu imualert. Ukiangalia na ukimsikiliza vizuri Raisi utagundua alilenga mfuko gani wa jamii, ni wazi aliulenga mfuko wa NSSF na alilenga daraja la kigamboni aliloagiza lipewe jina la Mw.Nyerere.Na ukiwa mzalendo wa kweli Raisi yuko sahihi kabisa.Watu wamekazana kuwekeza kwenye madaraja na majengo ambayo return yake ni ndogo wanacha kuwekeza kwenye viwanda na miradi ambayo itainua uchumi wa nchi kwa haraka na kutoa ajira nyingi za kudumu kwa vijana. Ila hii miradi ya maraja,makalavati na majendo ina ulaji wa maana sana.

Huyu dau nia ya kujenga daraja ulikuwa nzuri ila pesa alizopiga ktk miradi ikiwepo ununuzi wa mashamba hewa ni shidaaa,Wanachama tunaenda benki tunaambiwa rudini Nssf hakuna hela,huku majengo wanajenga na hayana wapangaji,mashamba yamenunuliwa hayana kazi hela imepigwa sana Nssf na dau hadi anajijengea uwanja nyumbani kwake
 
Kuna kiwanda cha maana utachojenga kwa billion 200 kama sio madaraja na makaravati tu? tutumie ubongo kidogo.
kusanya za makaravati manne na madaraja manne tuone kama hutajenga kiwanda.Kwanza kiwanda cha viatu, toothpick, vinahitaji kiasi gani kijana? kiwanda cha kusindika nyama, maziwa?kuprocess mazao ya shambani kama matunda? Wewe nae ndio haufikirii kabisa halafu unawaambia watu hawafikiri.
 
kusanya za makaravati manne na madaraja manne tuone kama hutajenga kiwanda.Kwanza kiwanda cha viatu, toothpick, vinahitaji kiasi gani kijana? kiwanda cha kusindika nyama, maziwa?kuprocess mazao ya shambani kama matunda? Wewe nae ndio haufikirii kabisa halafu unawaambia watu hawafikiri.
Mkuu hapa limezungumziwa daraja la Nyerere tu ambalo ni billion 200+. Hakuna nchi inayoendeshwa kirahisi hivyo kwani katika kodi zetu tunazokusanya kwa mwezi hatufikishi 1 trillion? Utakimbilia kujenga viwanda wakati umeme wa uhakika wa kuendesha mitambo hakuna? tuna mengi ya kufanya kabla hatujakimbilia kwenye viwanda lazima tujenge miundombinu yetu vizuri itakayoweza kuendesha hivyo viwanda.
 
Mkuu hapa limezungumziwa daraja la Nyerere tu ambalo ni billion 200+. Hakuna nchi inayoendeshwa kirahisi hivyo kwani katika kodi zetu tunazokusanya kwa mwezi hatufikishi 1 trillion? Utakimbilia kujenga viwanda wakati umeme wa uhakika wa kuendesha mitambo hakuna? tuna mengi ya kufanya kabla hatujakimbilia kwenye viwanda lazima tujenge miundombinu yetu vizuri itakayoweza kuendesha hivyo viwanda.
Mbona zamani vilikuwepo na miundo mbinu hii hii tena duni kuliko hii ya sasa? Unajua hizi hadithi za vijiweni kwenye kahawa muiache humo humo. Usijaribu kuileta hapa.
 
Mbona zamani vilikuwepo na miundo mbinu hii hii tena duni kuliko hii ya sasa? Unajua hizi hadithi za vijiweni kwenye kahawa muiache humo humo. Usijaribu kuileta hapa.
Pamoja na kuwepo mbona bado hali ya maisha ya mtanzania yalikuwa magumu hayajawahi kutokea tokea Dunia iumbwe? Tuna viwanda vya nguo lakini tulivaa Mawingu na kaniki,tuna kiwanda cha ngozi ila tulivaa viatu vya matairi,tuna mashirika ya sukari ila tulinunua kwa foleni ivi unafikiri hao viongozi hawana akili wewe ndio unazo peke yako?
 
Dr Kidau, + NSSF+ Caravat la Kigamboni, + viwanja vya bei mbaya + Ubalozi......mhhhh mie sisemi
 
Hiyo sentensi ya mwisho CC ndiyo imenivunja mbavu, Yaani FaizaFoxy utamuona soon hapa jamvini na ujiandae.Aisee nashindwaga kujua amejitendenezea software ambayo ameintegrate na JF kuwa akitajwa tu imualert. Ukiangalia na ukimsikiliza vizuri Raisi utagundua alilenga mfuko gani wa jamii, ni wazi aliulenga mfuko wa NSSF na alilenga daraja la kigamboni aliloagiza lipewe jina la Mw.Nyerere.Na ukiwa mzalendo wa kweli Raisi yuko sahihi kabisa.Watu wamekazana kuwekeza kwenye madaraja na majengo ambayo return yake ni ndogo wanacha kuwekeza kwenye viwanda na miradi ambayo itainua uchumi wa nchi kwa haraka na kutoa ajira nyingi za kudumu kwa vijana. Ila hii miradi ya maraja,makalavati na majendo ina ulaji wa maana sana.

Mkuu Obuma,
Kama kweli alimaanisha hivyo,inamaana alifanya unafiki kulisifia siku aliyolizindua???
 
Mzee mkapa alijijengea heshima kubwa sana kwa kuwa speech zake zote alikuwa anaandika. Kwa hiyo kutereza kwake ili kuwa sio rahisi maana hotuba zeke zilikuwa zimehaririwa...
 
Mkuu hapa limezungumziwa daraja la Nyerere tu ambalo ni billion 200+. Hakuna nchi inayoendeshwa kirahisi hivyo kwani katika kodi zetu tunazokusanya kwa mwezi hatufikishi 1 trillion? Utakimbilia kujenga viwanda wakati umeme wa uhakika wa kuendesha mitambo hakuna? tuna mengi ya kufanya kabla hatujakimbilia kwenye viwanda lazima tujenge miundombinu yetu vizuri itakayoweza kuendesha hivyo viwanda.

Kwa hiyo miundombinu hiyo ni pamoja na karavati la Kigamboni?
 
Huyu jamaa inabidi wamzuie asisome nje ya karatasi laa sivo mmmh
 
Hiyo sentensi ya mwisho CC ndiyo imenivunja mbavu, Yaani FaizaFoxy utamuona soon hapa jamvini na ujiandae.Aisee nashindwaga kujua amejitendenezea software ambayo ameintegrate na JF kuwa akitajwa tu imualert.

Mkuu Obuma mwana JF yoyote haitaji specific software kupata taarifa kuwa katajwa jamvini,nenda kwenye settings ya JF utaona mfano huu hapa chini
d0b46ef0da169d1f543e7006b1d32125.jpg

Chagua nini unataka hapo you'll be alert
 
mbona NSSF walitaka kuzalisha 600MW kwenye mgodi wa kiwira lakini serikali inawazingua miaka yote!?. viwanda bila umeme wa uhakika na cheap ni kudimbadimba.
 
Mzee wa msoga huko aliko roho inamuuma sana hakuna hata jambo moja jamaa amewahi kumsifia labda sisi wananchi tunamsifu kwa uwazi tu

Isipokuwa la kumteua JPM? Hivi JK bado anahitaji kusifiwa amewaacha muokote wenyewe kwenye nyavu keshamaliza muda wake.
 
Back
Top Bottom