afadhari hilo gari ni STK
Nduguyo angekuwa dereva wa hiyo STK jee?
Nimefurahi sana kuliona STK linakuwa la kwanza kuionja adha ya ujenzi wa miundombinu chini ya kiwango!
Jamani nipo daraja kuu la kuelekea mikoa ya kusini nyuma ya kongowe kutoka mgagala nalo limepasuka. Lina nyufa kubwa kwa magari makubwa ni hatari usalama wao. Hali ni mbaya magari yote yanayobeba mabomba ya mradi wa gesi yamezama kwenye maji.
Acha yavunjike tu
mi nimeongelea gari sijaongelea dereva!Nduguyo angekuwa dereva wa hiyo STK jee?
Haya,na,ujinga wangu lakini acha yavunjike tu
Afe tu
Haya,na,ujinga wangu lakini acha yavunjike tu