Daraja la Mfugale halijatatua tatizo

Daraja la Mfugale halijatatua tatizo

Kama Traffic hawajaweka magoti yao pale huwa hakuna foleni ya kiholela eneo lile.

Lile daraja limesaidia sana lasivyo hali ingekuwa mbaya zaidi.
 
Nadhani level ya professionalism iliyotumika ku-design hilo daraja ilikuwa ya chini, ndio maana likakaitwa daraja la mfungale
 
Chama changu cha ccm huwa kinakurupuka mno bila kufanya tathmin. wazee ni wengi sana kuliko vijana ndio maana tunakosa future solution
Comments za aina hii ndiyo hutufanya tusijue tusione wala kujua tatizo letu ni nini. This is very cheap conclusion. Tatizo lipo kwenye utanzania wetu i.e. Ufisadi, Uvivu na Uzembe. Hizi hizi elements ziko kwenye mioyo ya watanzanai wengi, haijali ni vijana au wazee, wana CCM au wasio wana CCM.
 
Mkiondoa foleni machinga wauza mahindi ya kuchoma, vipande vya miwa wataishi vipi?! Sio kila kitu ni tatizo, mengine ni fursa.
 
Jengeni na daraja la ufipa tuone ,siyo kila siku kukosoa madaraja ya wenzenu tu
 
Kapicha tafadhal
tapatalk_1544298797017.jpeg
 
Wazee wakukosoa kama kawaida yenu hahahaha.......hata kama bado kuna foleni lakini haiwezi kuwa kama mwanzo na haiwezi kuwa muda mrefu kama mwanzo.....
HAHAHAHA ujuaji mwingi...hahaha
We puru kweli kweli,tangi lini kwwnye flyover kunakuwa na foleni au akili zako hazikutoshi kama shati la huyu kada!
tapatalk_1544534775735.jpeg
 
Back
Top Bottom