Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,183
leo ni too much. zaidi ya saa 1 kati ya Serengeti na lilipo daraja.
tunajuwa mshakula 10% ila huu ni mshipa.
tunajuwa mshakula 10% ila huu ni mshipa.
nikukutumia picha utasema 'hiyo siyo Mandela Road'. wewe jaribu kuitumia tu siku moja ujionee mwenyewe.Tuoneshe picha ?
Itakuwa labda kuna ajali mimi naishi gongo la mboto. Siku hizi hapo tazara hakuna foleni kabisa.leo ni too much. zaidi ya saa 1 kati ya Serengeti na lilipo daraja.
tunajuwa mshakula 10% ila huu ni mshipa.
sema tuta kubwa la kuvukia mkuuleo ni too much. zaidi ya saa 1 kati ya Serengeti na lilipo daraja.
tunajuwa mshakula 10% ila huu ni mshipa.
Hilo daraja limejengwa ili kurahisisha safari za uwanja wa ndege na Katikati mnaotumia Mandela foleni haiepukikileo ni too much. zaidi ya saa 1 kati ya Serengeti na lilipo daraja.
tunajuwa mshakula 10% ila huu ni mshipa.
solution ni ya route ya Nyerere Road, upande wa Mandela Road bado mziki uleule inapotokea kama ilivyotokea leo.Itakuwa labda kuna ajali mimi naishi gongo la mboto. Siku hizi hapo tazara hakuna foleni kabisa.
Sidhani mkuu me natokea ubungo deilee napita buguruni foleni hakuna labda kutokea huko sokota.solution ni ya route ya Nyerere Road, upande wa Mandela Road bado mziki uleule inapotokea kama ilivyotokea leo.
mimi limeniongezea nusu saa ya kulalaleo ni too much. zaidi ya saa 1 kati ya Serengeti na lilipo daraja.
tunajuwa mshakula 10% ila huu ni mshipa.
mimi mwenyewe niliashangaa kuongeza mavyuma ni hupotevu wa pesa tuKwa Wanaotumia Hiyo Barabara Sasa Hivi Shida Sana Yaani Foleni Sana Mpaka Askari Aongoze Magari Wakati Tulijua Mambo Safi
Kwa Walioona Week Mbili Waliweka Vyuma Vimeandikwa Mfugale Nilishangaa Vilileta Sura Mbaya
Baadaye Wakavitoa
Daraja Bado
Tuoneshe picha ?
Unapita HapoACHA UONGO....SIKU HIZI HAKUNA FOLENI....