Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 15,759
- 37,370
Aisee tukisema wazungu wanatuona nyani tukubari sio kupanic.
Jf kama ili swala litaki kuzungumziwa sababu ni CCm na wana CCm wao waliopo hapa JF wanaweza kusema leo ni usiku wakati mchana.
Nimeona huko global TV wakionesha daraja la milioni 21 na wakisema ni awamu ya kwanza.
Sasa ijajulikana kuna awamu ngapi mpaka amalize ubunge wake daraja kumalizika.
Jf kama ili swala litaki kuzungumziwa sababu ni CCm na wana CCm wao waliopo hapa JF wanaweza kusema leo ni usiku wakati mchana.
Nimeona huko global TV wakionesha daraja la milioni 21 na wakisema ni awamu ya kwanza.
Sasa ijajulikana kuna awamu ngapi mpaka amalize ubunge wake daraja kumalizika.