ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,950
- 6,981
Naona ustaadhi R. DAU anajifaragua asitumbuliwe jipu, ngoja tuone.
atumbuliwe, amekalia pesa zote alizochukua NPF
Naona ustaadhi R. DAU anajifaragua asitumbuliwe jipu, ngoja tuone.
Hapo jk alicheza kama Diego maradona
Sijui kama halitakuwa jipu hili
Ni jipu kubwa sana tena siajabu kuliko yote yaliyowahi kutumbuliwa mpaka sasa kwa maana mfuko wetu umefilisika kabisa na hata leo NSSF wanashindwa hata kulipa mishahara ya wafanyakazi kwa wakati jambo ambalo halikutegemewa kutokea kwa shirika kama NSSF, na sababu hasa ya kutumia fedha zote kulijenga ni mradi wa nyumba za Muhindi huko Tua ngoma!
Mchina amejitahidi Kulifyatuwa hongera.