Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,356
Siku nchi hii ikiingia machafukoni huyu mzee atakuwa na mkono wakeNdo maana tunashauri uanzishe chama chako cha Muslim Brotherhood uendeleze harakati zako za kupigania uislam. Hapa JF hatutaki ulete hizo riwaya zako za chuki kugombanisha waTZ kidini. Hakuna mkristo hata mmoja huleta sera za udini humu. Nashauri moderators wakutoe humu maana mwisho wa siku unachochea vita za kidini
Sent from my HUAWEI Y360-U31 using JamiiForums mobile app