Unaweza ukadhani ni ndoto lakini hii ni habari ya kweli baada ya hifadhi ya jamii NSSF kutatangaza uwezekano wa kujenga daraja la historia
litakalounganisha DAR ES SALAAM NA ZANZIBAR.
mambo mengine ni kama ndoto za mchana ,kumaliza folen dsm imekuwa ndoto ,sasa wanaota kujenga daraja kwenda znz ,huko znz kuna rasilimal gan ya kuhitaj hilo daraja ,si waendelee kutumia bati na meli tuu .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.