Daraja kutoka DAR mpaka ZNZBR

Daraja kutoka DAR mpaka ZNZBR

Wakimaliza wajengae lingine hadi dubai, kutupunguzia shida sisi tunaochukia heights
 
Muungano wetu sasa utadumu kwani kitendo cha kupanda meli kinadhoofisha sana muungano kwa kufanya baadhi ya watu wajisikie labda wanatoka abroad. Social interaction itaongezeka na undugu utaimarika automatically bila ya kutegemea katiba au sheria nyingine
 
Kwa yooooote yalosemwa ila hili tena duuuuuuuh!!!! Nmekaa chini asee.
Hio cost yooote aheri tutandaze lami coz kuna road kibao na ni very potential bt wanakurupuka kujenga 'jidaraja' lote hiloo!!
 
Unaweza ukadhani ni ndoto lakini hii ni habari ya kweli baada ya hifadhi ya jamii NSSF kutatangaza uwezekano wa kujenga daraja la historia
litakalounganisha DAR ES SALAAM NA ZANZIBAR.

Likijengwa KWELI Naahidi Kupanda MLIMA KILIMANJARO Huu Huu KIFUA WAZI a.k.a KIDALI POO! Tuache Ndoto Za JUANI.
 
Hao NSSF wameshaona hela zetu za mchezo sasa daraja halafu hayo mafao yetu watulipe na nini?Mifuko inaidai serekali sijui trilion ngapi tena inanyumbanyumba ndio iwe hilo daraja?
 
Wondering what's the shortest distance between Zanzibar and mainland like the crow flies?
 
Hivi zile flyover za hapo mjini zishakwisha? Haya kwa CCM ndio limeshajengwa hilo daraja anzeni kupitisha magari
 
Likijengwa hilo daraja n.a.k.u.n.y.a kuanzia Posta mpya mpaka Kimara stop over bila kuacha space.
 
Back
Top Bottom