DAR WING -wa WHITE PARTY

DAR WING -wa WHITE PARTY

gfsonwin;; Kha ha ha ha ha haaaa!!!! Ngoja nianze maandalizi iwezekanavyo!!

Ila nina hofu na member wa Jij la Dar......................Mi bado sijawapa 50% na mataona wenyewe hawana changamoto bado,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,!!!!



karibu sana ma dearest
 
Last edited by a moderator:
Au kama vipi utinge kile nlichokununulia kama zawadi ya bithday yako......

nyepes.jpg

mkuu wasijevaa nyepesi nyepesi kama hizi zikatufanya tuchomolee mashati huku tumenyonga tai

CC Madame B, cacico amu, Zion Daughter, Paloma, snowhite, Smile, Mbimbinho, manoah, lara 1 Ciello Thanda, Thando,
 
Last edited by a moderator:
aahh najiandaa na miwani ya mbao lol

kisa cha kufa na kihoro... ujana wote huu

bana we jiangalizie tu!kwani utayang'oa mwenzio Asprin ashajizoelea we unafikir mtu kama Madame B akiwa anaandika ubaoni inakuwaje!sasa mwenzio si angekuwa ashakufa !
we jitazamie tu!
yanini kufa ukakosa kushuhudia sifa na utukufu wake MUUMBA!
sosi watu8
 
Last edited by a moderator:
ha ha Smile...een shikunde shishekwiboo ewe nkunde ngama ya nkonu eto...
kumanyeo kwa ishtuka...eto kwa muamba mbuya nsi...ha ha
Smile kwantiria nsoro ewu wako sumbai deny kyaa! lalu kwani nyashiidime irafo isha na mwolyi??
en shilembya lee, afanyie uwiny aluwaange lunde finga mbengye kwa lara.
 
Last edited by a moderator:
bana we jiangalizie tu!kwani utayang'oa mwenzio Asprin ashajizoelea we unafikir mtu kama Madame B akiwa anaandika ubaoni inakuwaje!sasa mwenzio si angekuwa ashakufa !
we jitazamie tu!
yanini kufa ukakosa kushuhudia sifa na utukufu wake MUUMBA!
sosi watu8
mwali umenikumbusha siku ile kimara resort MC akadai Mungu na asifiwe kwa uumbaji wake lol!
tulitokelezeaje sasa?? halafu mkute hii mama iko na milima ya moto kadhaa kumkichwa utampendaje sasa?? yaani sio siri Madame B alistisha mbaya mnooo!
 
Last edited by a moderator:
si ndio namsahngaa Jiwe Linaloishi anataka ukose uhondo!
sasa mwalimu avae za haiba darasani hata kweny white pary!
ah wapi!
na kijikuku ntaweka mguuni !chezeya mimi wewe nikiwa sijabanwa na scheme of work!

hahahahha!
nlifikiri utasahau vile vikuku vyetu ndani ya mchuchumio lol!
na kagauni kafupi unatokelezeaje sasa?
mwambie Asprin venue vp??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom