kasopa
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 302
- 56
Ila ni kweli hapa ujenzi ulianza kwa kasi sana na ile kesi ya kiwanja cha rose garden nayo wakati ule ikawa Hot...lakini sijui ni financial crisiss au kuna sababu nyingine hili eneo sasa hivi kimyaaaaaa,tushaingizwa mjini tena....japo wangetoa tu tamko kama wale wenzao wa kigamboni........
kigamboni kuna tamko ganilimetolewa tuna Ardhi zetu huko hatujui kinachoendelea