Dar unveils its Modern Commuter Buses

Dar unveils its Modern Commuter Buses

you are the same stupid guy always pointless

Nimeshinda kutwa bila kutukana MTU nakuweka kipolo ila ujitahidi hatakwa miguu najua nauli huna uje walau ulishike hili kwa mikono maana unayaonaga kwenye TV tu hahaha
 

Attachments

  • 1439999669203.jpg
    1439999669203.jpg
    64.7 KB · Views: 151
Dhuks c kwa ubaya who remembers wen kidero wanted to launch minibuses zika nunuliwa 103 toka GM Halafu matatu association ika kataa kabisa ikisema zita fanya wasee wavutwe kazi
 
Last edited by a moderator:
Hzi vitu ziko nivenye haziwezi tumika juu matatu association ilikataa kabisa.... Sasa zinatumika airport pekee
 
Nimeshinda kutwa bila kutukana MTU nakuweka kipolo ila ujitahidi hatakwa miguu najua nauli huna uje walau ulishike hili kwa mikono maana unayaonaga kwenye TV tu hahaha


Eti nauli lol,,Mimi mkenya sio MTU wa kusukumana na watu ndani ya mabasi kama ulivuo zoea toka utotoni mwako na bado watoto wako waendelea vivyo hivyo aibu kwako,mbona hilo basi ni kama liko ile kibera ya zamani
 
Dhuks c kwa ubaya who remembers wen kidero wanted to launch minibuses zika nunuliwa 103 toka GM Halafu matatu association ika kataa kabisa ikisema zita fanya wasee wavutwe kazi


waeleze haya mabisi yalifika Kenya zamani ni venye tu yalikataliwa
 
Last edited by a moderator:
Eti nauli lol,,Mimi mkenya sio MTU wa kusukumana na watu ndani ya mabasi kama ulivuo zoea toka utotoni mwako na bado watoto wako waendelea vivyo hivyo aibu kwako,mbona hilo basi ni kama liko ile kibera ya zamani

Liweke hilo la kibera njiwa wewe
 
waeleze haya mabisi yalifika Kenya zamani ni venye tu yalikataliwa

Wapuzinyie yangepita njia IPI au mnadhani yamikoani haya hahaha mtueleze miundo mbinu mliokuwa mmeandaa kwa mabasi haya ni IPI 😕😱😱😕😱😱😕😕😕😱😕
 
Hzi vitu ziko nivenye haziwezi tumika juu matatu association ilikataa kabisa.... Sasa zinatumika airport pekee

Sasa nyie yawekeni airport pekee wakati wewe toka uzaliwe unaiona ndege inakatiza juu yapaa za kibera wenzio had I chokoraa anapata kitu roho inapenda, wakenya wangapi wanakwenda airport kupanda ndege? Mtakua mnayaona kwa macho tu
 
MOTOCHINI trust me av been to more planes this week alone than u have been a whole 10yrs I bet u
 
Last edited by a moderator:
Kifupi mwaka huu sijapanda ndege na sitarajii Mimi treni mahala pake nshu nikuwa kuna faida gani kwa wananchi Wa chini endapo mabasi ya kisasa yatafanya kazi uwanja Wa ndege pekee!! Yatakuwa yawakenya au watalii!!
 
Kifupi mwaka huu sijapanda ndege na sitarajii Mimi treni mahala pake nshu nikuwa kuna faida gani kwa wananchi Wa chini endapo mabasi ya kisasa yatafanya kazi uwanja Wa ndege pekee!! Yatakuwa yawakenya au watalii!!
In 2009, aina za mabasi makubwa za kisasa zenye rangi nyekundu ziliwekwa kwenye mabarabara za jiji ya Nairobi. Kuzitumia, wasafiri wangehitajika hata kutumia kadi, yani badala ya kumpa kondakta pesa, wewe ungeswipe kadi yako tu pale na hivyo kuweza kusafiri. Lakini kuna wadau kwenye sekta ya usafiri ambao walilipinga vikali mfumo huo, wakidai ingewakandamiza kibiashara na vijana wengi wangepoteza ajira.
Baadaye, sijui haswa ni njia gani hizo mabasi zilipata kuondolewa, lakini kulikuwa na maelewano ya kwamba kuwe na ratiba za kuondolewa kwa hizi magari madogo za usafiri aina ya nissan vans na kuwa replaced na mabasi makubwa zenye uwezo wa kuwabeba angalau abiria 30+, ili kupunguza msongamano kwenye barabara za miji mikuu za Kenya.
 
Eti nauli lol,,Mimi mkenya sio MTU wa kusukumana na watu ndani ya mabasi kama ulivuo zoea toka utotoni mwako na bado watoto wako waendelea vivyo hivyo aibu kwako,mbona hilo basi ni kama liko ile kibera ya zamani

Acha uongo wewe....huna hata haya. Nairobi kumejaa vinisani tu vinavyomilikiwa na saccos. Hivyo kibera ilikuwa na mabasi makubwa lini....nairobi mmejazana wapagazi watupu na suti zenu za kuvua usiku kuzikaushia kwenye feni.
 
Acha ushamba Kiraia. I know Nairobi very well. Ninapoingia Nairobi mchana nikiwa na Kenya Airways huwa napata view nzuri sana ya jiji la Nairobi. In fact, intra-city public transport in Nairobi is a big challenge

tusiongelee tu mabasi.. tuongelee maendeleo kiujumla. hivi kweli nairobi inaweza ikaona wivu kwa Dar kwa ajili ya hayo mabasi? wewe hujafika nairobi muda si mrefu utasema unakujaga nairobi na Meli. uwepo wa hayo mabasi n jambo zuri sana sana tujipe hongera tumepiga kijihatua kwenda mbele. ila ukianza kusema mambo ya wivu utachekwa wewe.. sisi ndio tunawaonea wivu Nairobi.
 
Acha uongo wewe....huna hata haya. Nairobi kumejaa vinisani tu vinavyomilikiwa na saccos. Hivyo kibera ilikuwa na mabasi makubwa lini....nairobi mmejazana wapagazi watupu na suti zenu za kuvua usiku kuzikaushia kwenye feni.
Ati vinisani tu? Kuna mabasi mengi sana Nairobi, zile za kutajika ni kama Double M, Citihoppa,Kenya Bus Services (KBS), Metro Shuttle,Rasasi,Ummoiner nk.... na pia zile zingine nyingi zenye michoro ambazo Paulo amesema ni za ki-Freemasonry.
Kampuni moja ya mabasi, kwa mfano KBS inaweza kuwa na magari hadi 100 zinazohudumia sehemu kadhaa za jiji (routes, tunavyoziita huku) na kila route ina nambari yake. Kwa mfano, kwenye mtaa wangu wa South C, nitapanda basi nambari 33, Mombasa road au za number 12 zitakazoningiza ndani ya mtaa kwenyewe.

Kibera hiyo mnayopenda kudhania ni mtaa wenye kila kitu kibaya inahudumiwa na mabasi makubwa, hasa KBS, Citi hoppa na pia mabasi mengine yenye michoro yanayoashiria ughetto. Sio vijimatatu hasa.
 
Last edited by a moderator:
Nendeni mkalale wote nyie... mnahangaika na comments za huyo Paulo wakati yeye mwenyewe anajua alichosema ni kuwachokoza wakenya tu.. kama mwenyewe ameshafikaga Nbi mara nyingi kama anavyodai, ni anatuvuta miguu zetu tu, na sisi tunavutika.. hizo mabasi ndo kitu ya kutisha.. mbona mabasi zinazoenda mikoani ni luxury maradufu.. tuone kama kweli yatapunguza foleni yalivyokusudiwa..
 
Hahahaha MOTOCHINI anataka kutusi wakenya Lakini anajua hzi basi nza CCM na yy ako ukawa sasa ana tread carefully as praise CCM kwa mabasi
Unamaanisha kuwa ili upande uende na kadi ya ccm et!! wewe sam999 unavitoko aisee
 
Last edited by a moderator:
Nendeni mkalale wote nyie... mnahangaika na comments za huyo Paulo wakati yeye mwenyewe anajua alichosema ni kuwachokoza wakenya tu.. kama mwenyewe ameshafikaga Nbi mara nyingi kama anavyodai, ni anatuvuta miguu zetu tu, na sisi tunavutika.. hizo mabasi ndo kitu ya kutisha.. mbona mabasi zinazoenda mikoani ni luxury maradufu.. tuone kama kweli yatapunguza foleni yalivyokusudiwa..
kupunguza foleni yatapunguza ispokuwa mji unakua kilasiku na shughuri zinaongezeka hivyo nimoja ya hatua njema kufuata nyingine
 
Back
Top Bottom