Dar unveils its Modern Commuter Buses

Dar unveils its Modern Commuter Buses

basi kama hizi hua zinapiga ma round ndani ya pale kenyatta university zikibeba wanafunzi from point A to point B, ngoja ni tafute picha.

kama ni basi bila Barbara zake kwa jiji basi hakuna kitu hapa,. wanaeza kisifia kwamba mtaa mmoja umepata basi poa lakini hio haiwezi shock mtu.
 
haya mabasi mapya naomba wale watu vibonge watangaziwe mapeeemaaaaaa.
No seat for you.
Ukitaka unalipia seat zote mbili au usimame.
Msije kutubana tukakosa hewa buuureeeee.
NARUDIA TENA.
VIBONGE MTASIMAMA AU MTALIPIA SEAT MBILI
 
[h=2]The Giant Project Set to Stir Athi River's Backyard[/h]
[h=2]The Giant Project Set to Stir Athi River's Backyard[/h]
Home » Rail » The Giant Project Set to Stir Athi River's Backyard



[h=3]18 Aug[/h]


By Rachel Keino
rckeino@gmail.com
Athi River an industrial town situated in the East Southern part of Kenya's Capital city of Nairobi is poised to earn a place in the world map of infrastructure marvels that will come with the
Mombasa-Nairobi Standard Gauge Railway project currently under construction.
The town's population mainly derive their livelihoods from employment the cement, steel, aluminum and various other sorts of industries as well as small and medium business enterprises that dot the busy suburb. Many others who have built or rented houses in the area travel to their work or business places in Nairobi, Machakos, Kitengela. The residents go about their daily activities oblivious of the on going development that is about to stir their backyards. Esther Nzioki, wakes up every morning to attend to the customers who bring their clothes to be mended. As she peddles her sewing machine, the roar of bigger machinery punctuates the serenity that is synonymous with her Kwa Mang'eli estate at the banks of Mbagathi River. She glances towards the rumbling noise and quickly reverts to complete a jacket a client is waiting for her to fix.
Esther's new neighbor, is a monster crane hoisting and positioning a percussion driller set to dig up the foundation of one of the 78 piers to support the beams of the bridge the contractor is putting up at Section 5 of the SGR project.
Spanning 2.6 kilometres, with a possible extension to accommodate movement of animals in Nairobi National Park, The Athi River Super Major Bridge will carry the rail traffic from Mombasa road shortly after the Kenya Meat Commission all the way to cross the Athi River Namanga road into the park near the Eastern Gate.
When complete, the bridge will be in the world's category of bridges measuring above two (2) kilometres in length and one of the longest in Africa dislodging Armando Emilio Guebuza Bridge in Mozambique from number 6 (six) at 2.37km. The 6th October Bridge across River Nile in Cairo, Egypt, hold the trophy at 20.5km , Third mainland Bridge in Lagos, Nigeria is the Second longest at 10.5km and Suez Canal Bridge also in Egypt is number three at 3.9km. Others are Mozambique Island Bridge, 3.8km and Dona Ana Bridge, 3.67km taking position four and five respectively.
About 10 percent of the project is complete, according Christian Odhiambo Akuku from APEC, the Consulting Engineering firm supervising the construction works.
About 400 worker recruited from all over the country are involved in the development while armed personnel from the Kenya Police Service offer round the clock security protection. Odhiambo and Civil Engineering graduate join fellow engineers and technical staff from Kenya Railways and China Roads and Bridges Corporation at the construction site every day to ensure no detail is left out. He credits his specialized structural engineering training at Moi University for his ability to interpret and communicate the project's technical drawings to be deliver a project of such magnitude.
Launched by President Uhuru Kenyatta in November 2013, the $13 .8 billion Chinese funded Standard Gauge Railway project is geared to transform the surface transport infrastructure landscape and accelerate the economic integration of the East and East Africa region.

Dar es salaam haitoshi mboga.
 
basi kama hizi hua zinapiga ma round ndani ya pale kenyatta university zikibeba wanafunzi from point A to point B, ngoja ni tafute picha.

kama ni basi bila Barbara zake kwa jiji basi hakuna kitu hapa,. wanaeza kisifia kwamba mtaa mmoja umepata basi poa lakini hio haiwezi shock mtu.

Nilikuwa Kenyatta university juzi,barabara zimekuwa upgraded from a single lane to dual carriage.
 
Dude have you ever been in Nairobi?

Hajawahi, mi mwenyewe sijawahi lakini nikiona mavitu kwenye Youtube na mikakati ya kuboresha makazi na miundombinu yote, nakubali kwamba Nai ni London ya Afrika

MaCCM yanachokifanya ni kibaya zaidi ya ukoloni, hamna output kabisa
 
Nilipata kusikia ya kuwa mradi Rapid Bus Transit ni kwa ajili ya kupunguza foleni. Swali ni : basi hizi zitapunguza foleni? Sidhani. Ishu kubwa ni miundo mbinu especially kwenye junctions. Iwapo kungekuwepo fly overs na under passes,tungekuwa shocked. Dar Es Salaam ona fly over ngapi? Hebu tuone iwapo foleni zitapungua.

Paulo,Halafu umezungumzia matatu za Nai. Are you that all matatus in Nai have Freemasonry graffiti ? Na ndio maana huzipendi?
 
Last edited by a moderator:
Tehe...I always never get it when I see matatu ya jiji la Nairobian yalivyochorwa picha za kifreemason kila mahali. Wanahitaji maombi!

wakenya na watanzania ni watu tofauti sana,hayo mabasi ya Nairobi ni chaguo letu sisi wakenya hizo tunayapenda sana yakiwa na hizo 3d unazosema ni Freemason ambapo hatujui ulijulia wapi.so stick to those slow buses and let us be by the way those buses from Kenya are supporting local artists in drawing and designing you just continue using your buses which are designed outside they have no contribution to your young and talented tanzanians
 
Nyinyi nunueni mabasi yenyu, kenya is building an entire rail network. Dar hamtoshi
 
CCM oyee its making Dar es salaam the most beatiful town in east and central Africa.
 
wakenya na watanzania ni watu tofauti sana,hayo mabasi ya Nairobi ni chaguo letu sisi wakenya hizo tunayapenda sana yakiwa na hizo 3d unazosema ni Freemason ambapo hatujui ulijulia wapi.so stick to those slow buses and let us be by the way those buses from Kenya are supporting local artists in drawing and designing you just continue using your buses which are designed outside they have no contribution to your young and talented tanzanians
Asante!!!
Hizo mabasi zetu kwanza huundwa hapa hapa Kenya. The body is built right here, the chasis assembled right here.

Kwa hivyo we are pretty much buying Kenya, building Kenya.

:dance:
 
Paulo Kama hujui basi hupandiwa wapi usije ukasema eti Nairobi kuna uhaba wa mabasi, Nairobi kuna Nganya, matatu, basi na taxi, hadi reli, yote na vituo tofauti vya kupandia, kwahivyo ni chaguo lako tu kama hupendi kelele za matatu, na hakuna siku eti zile choices nilizotaja zikawa affected kwa sababu ya uhaba wowote ule.
 
wakenya na watanzania ni watu tofauti sana,hayo mabasi ya Nairobi ni chaguo letu sisi wakenya hizo tunayapenda sana yakiwa na hizo 3d unazosema ni Freemason ambapo hatujui ulijulia wapi.so stick to those slow buses and let us be by the way those buses from Kenya are supporting local artists in drawing and designing you just continue using your buses which are designed outside they have no contribution to your young and talented tanzanians
Unalo wewe huna jipya unalialia hahaha
 
Asante!!!
Hizo mabasi zetu kwanza huundwa hapa hapa Kenya. The body is built right here, the chasis assembled right here.

Kwa hivyo we are pretty much buying Kenya, building Kenya.

:dance:


I even wonder what they are pround of,supporting other already developed countries when they should be supporting their own I pity them when I see some of them bragging and saying America also uses those buses that is like wearing a graduation gown before wearing a primary school uniform
 
Before i get a roasting from my fellow Kenyans, i need to remind them that Dar has triumphed Nairobi in the roll out of BRT. I am sure that Nairobi is equal to the challenge and it has projects to eclipse anything that Dar has in place but we are taking eternity to come up with viable designs and in measurable time-frames. Think of Ngong road which got financing in 2012 but designing has lagged it ever since, think of Outering road which is being constructed with a space left out for BRT but whose design is still in the works. Think of the NUTRIP project which is still under design despite getting the funding back in 2012. We will triumph but we need to get our act together; we cant be talking BRT, light rail, cables etc without fast tracking any of them.
 
Back
Top Bottom