Ni kweli kulingana na maelezo ya mkuu wa msafara ilikuwa apande gari lingine baada ya hilo kuendelee Lindi. Nawashukru sana hapa JF kwani wengi wenu wamenifariji sana hasa privately.
nimeshtuka sana!..nimetoka huko juzi tu,na binafsi huwa naamini njia hiyo huwa haina matukio ya ajali hivyo hata waliposema tufunge mikanda nilipuuza!...
Pole sana mkuu Ng'wanapagi
nimeshtuka sana!..nimetoka huko juzi tu,na binafsi huwa naamini njia hiyo huwa haina matukio ya ajali hivyo hata waliposema tufunge mikanda nilipuuza!...
Pole sana mkuu Ng'wanapagi