Kweli shida tatizo nini hasa?Pcha haipigikiiii mkuu
Gari sio kitu cha ajabu Mkuu..kumbe una gari
/ sababu hasa nini!!?Watu wamechoma matair hapa barabarani maeneo ya mtongan kunduchi nimegeuza na Gar yangu nizungukie mbuyuni wenye nchi fanyeni kwel mzime moto huoo. Wanapita watembea kwa miguu na bodaboda wenye vi Ist vyetu tumeshindwa kupita
Kadhulumiwa na Nani??Wanadai kuna mtu kafanyiwa dhulma ya nyumba yake, then wazee wa PGO wameuanika utupu wake mbele ya mabinti zake hivyo "wananchi wenye hasira kali"wameamua kua LIWALO NA LIWE.
Police General Order (PGO) ni muongozo wa kisheria wa utekelezaji wa kazi zote za polisi.Hivi neno PGO Lina maana gani? Naomba tusaidiane twende pamoja.
Mkuu, aliyenigusia hizi story alikua yuko les sana, hakufunguka vizuri.. ila kwa Akili ya kawaida inaonekana kuna mwenye hela kaforce kuchukua cha asiyekua nazo.Kadhulumiwa na Nani??
Mpuuzi sana wewe, 😂😂😂😅😅
Nashukuru kwa kunifahamisha, nimekuwa nikiiona jukwaani lakisi sikuwa naelewa.Police General Order (PGO) ni muongozo wa kisheria wa utekelezaji wa kazi zote za polisi.