Risasi za miguu na wakafariki wakiwa njiani kuelekea hospital... Huu msemo hauna mbadala? Kila mara ni hivo hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app
U wrote nonsense
Jeshi halija chafuliwa ila huyo 'mbuzi' aliyekamatwa kalichafua jeshi.Polisi inalichafua jeshi
Next time polisi wawe wanawalenga WATUHUMIWA risasi za tumbo tu! Maana za miguuni huwa daima zinapelekea vifo vyao na kuwanyima nafasi ya kujitetea ambayo ni ya msingi kwa wote! Au angalau wawe wanalenga vichwa!!
Ungekuwa umesomea sheria usinge laumu huo msemo wa polisi. Polisi hawaruhusiwi kuuwa hivyo kama ikitokea kaua, lazima atoe utetezi.Mambo Sasa katika ubora wake,mmewafyatulia miguuni na kufariki njiani kuelekea hospitalini hamjui hata kudanganya!!
Ndio dawa ya kumaliza ujambazi, kwa ugumu wa maisha wanaotaka shortcuts ni mochwariwanawasingizia, siwezi kuamini lolote awamu hii! Polisi akiua asishitakiwe apandishwe cheo ma mshahara! Imani itoke wapi? We need an independent verification!
Cha msingi tu wasije wakasingizia kuwa marehemu mmoja hapo ndiyo alimteka MO
Kova aombwe ushauri wa masinemaree hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wahaya mmekufa akili! Nimemsikia mmmoja ndugu yake anafia rumande kwa makosa ya kubambikiwa, lakini bado eti ni kada wa ccm!Ndio dawa ya kumaliza ujambazi, kwa ugumu wa maisha wanaotaka shortcuts ni mochwari
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekuwa umesomea sheria usinge laumu huo msemo wa polisi. Polisi hawaruhusiwi kuuwa hivyo kama ikitokea kaua, lazima atoe utetezi.
5/5
sema hatuwezi kujua kwa vile hatukuwepoKwanini walikimbie?
Siku majambazi wakikuingilia na kukushuhulikia mtazamo wako katika jambo hili unaweza kubadilika. Muulize mzee Yusuf na mke wakewanawasingizia, siwezi kuamini lolote awamu hii! Polisi akiua asishitakiwe apandishwe cheo ma mshahara! Imani itoke wapi? We need an independent verification!
Hilo ni jibu murua. Maana hakuna aliyekuweposema hatuwezi kujua kwa vile hatukuwepo
Ntafanya mara ngapi???
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewaua majambazi watano na kufanikiwa kuwakamata watuhumiwa wanne, kukamata silaha nne na risasi 59 katika matukio matatu tofauti.
Marchi 3 mwaka huu majira ya saa kumi na mbili na nusu jioni huko maeneo ya Kibaha Maili moja Jeshi la Polisi likiwa katika ufuatiliaji lilimkamata mtuhumiwa moja aitwaye Friday Samson (29)askari wa JWTZ Kikosi cha 36KJ Kibaha Msangani na katika mahojiano ya kina alikiri kumiliki silaha mbili kinyume cha sheria na kwamba huzihifadhi silaha hizo nyumbani kwa mke mdogo mtaa wa Muheza Kibaha Pwani na hufanyia matukio ya uhalifu katika maeneo mbalimbali.
Baada ya mahojiano Jeshi la Polisi pamoja na mtuhumiwa huyo walifika kwenye nyumba hiyo na kufanikiwa kukamata silaha aina ya AK 47 yenye namba NM174844 ikiwa na risasi 20 ndani ya magazine, boksi moja likiwa na risasi 27,bastola moja yenye namba 3249 ikwa na risasi 7 ndani ya magazine na risasi 3 za silaha ya G3.
Mtuhumiwa alikubali kuwaonyesha wenzake watatu anaoshirikiana nao katika matukio hayo na askari walipofika kwenye nyumba wanayoishi watuhumiwa hao walianza kukimbia kupitia mlango wa nyuma na hatimaye askari walirusha risasi hewani kuwaamuru wasimame lakini walikaidi na ndipo walipowafyatulia risasi za miguu ambazo ziliwajeruhi na walifariki dunia wakiwa njiani kupelekwa hospitali.
Nasema kweli ni majambazi? Awamu hii lolote linawezekana, unielewe!Siku majambazi wakikuingilia na kukushuhulikia mtazamo wako katika jambo hili unaweza kubadilika. Muulize mzee Yusuf na mke wake