Polisi wanafanya maigizo ya kitoto kupambana na watu wasio na silaha, wakati kuna mtu amejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, na hakuna lolote wamemfanya. Hao polisi wanaficha udhaifu wao wa kiutendaji kwa kuwafurahisha majizi ya kura. Hiyo Cdm haina mbunge hata mmoja, lakini promo lake sio la nchi hii. Kwahiki kinachoendelea naiona ccm ikifika tamati hivi karibuni.
Mkuu Kwa maisha niliyonayo ninao uwezo wa kuwalisha wafuasi wote wa gaidi mboweKwa kosa gani?
Sheria ipi inayosema watu wakienda mahakaman kusikiliza kesi wapigwe na kuvunjwa viuno??
Acha uzezeta wewe, usisubir kulelewa , jitegemee uone umuhimu wa katiba mpya!
Ccm ilishafikia tamati siku nyingi tu kupitia space ya Maria
Mkuu Sina ndugu hata mmoja mwenye akili za chadema,acha wavunjwe viuno akili ziwakae sawa,subiri kesho utaonaTukiwa na ushabiki wa kawaida kwenye siasa Kama ilivyo kwenye ushabiki wa mpira, tunapungukiwa nn? Kwanini kwenye siasa tuchukiane hivyo!! Hao unaotaka wavunjwe viuno, wengine ni waume wa shangazi yako!! Sasa shangazi yako atapewa utamu na nani?
Soon nakuweka kwenye ignore list, useless toilet paper weeHili ni jambo jema sana kamanda mla mbwa.
Mama hataki uonevu ndio maana amewaacha waendelee kula maishaWaambie hao polisi hayo maigizo ya kitoto sio deal, ni bora wangemkamata aliyekuwa anaiba mafuta. Lakini wako kimya huku wakijitutumua kwa watu wasio hata na wembe.
Mama anaupiga mwingi...Babu zetu walikosea sana kudai Uhuru .
Ona sasa Mwafrika analipwa 20k per day kumdhibiti Mwafrika mwenzake asitumie haki yake
Mama anaupiga mwingi...
Hahaha hiyo umewapa kazi ngumu. Wambie tu kuna kibaka teja anasumbua hapa mtaani Chanika. It will take them 1 weekHii ndiyo kazi namba 1 ambayo policcm wanaimudu kwa 100%! Ila ukiwaambia wawatafute waliompiga Tundu Lissu risasi, unakuta wanang'aza ng'aza tu macho!
Eti "tunamtaka dereva na yeye mwenyewe waje kutoa ushahidi" Sasa ingetokea wamekufa wote siku ya tukio!! Mbona Rais wa Haiti ameuwawa, lakini wahusika wametiwa mbaroni?
Generali wa Museveni alishambuliwa kwa risasi, watuhumiwa wametiwa mbaroni! Wa Tundu Lissu, hawajulikani!!!
Napendekeza wavunjwe viuno kabisa Hawa wafuasi wa ghaidi mbowe
Una ukoo na makaburu SAWandugu taarifa zilizopo ni kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vimejiandaa kwelikweli kuharibu sura ya yeyote atakayejaribu kuweka mguu wake Kisutu.
Naambiwa kila kona wamejipanga. Kwa wale wanaopenda kuendelea kupumua hewa ya dunia hii nawashauri usikanyage Kisutu Kesho. Ona tu kipande kidogo kwa hisani ya watu wa Tanzania.
Kesho nna summons ya kwenda kuchuku pale mahakamani,kazi ipoWandugu taarifa zilizopo ni kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vimejiandaa kwelikweli kuharibu sura ya yeyote atakayejaribu kuweka mguu wake Kisutu.
Naambiwa kila kona wamejipanga. Kwa wale wanaopenda kuendelea kupumua hewa ya dunia hii nawashauri usikanyage Kisutu Kesho. Ona tu kipande kidogo kwa hisani ya watu wa Tanzania.
Mkuu kuwa serious basi wewe una nyumba?Wanachama wa chadema wamegoma kufanya maandamano yao kesho baada ya kugundua kuwa viongozi wakubwa wa chama hicho hawatokuwepo maandamanoni. Ukweli ni kwamba hakuna mtu atakaekuwa tayar kuweka maisha yake hatarini kwa sababu ya maisha ya mtu mungine. Kesho viongozi wa chadema wakishiriki maandamano kama wanavyomaanisha nyumbu wao hapa jukwaani, basi mi nitachoma nyumba yangu moto live afu niwatumie video muione inavyoteketea.
Sio kwamba hapendi uonevu, bali anajihusisha na siasa za kishenzi. Ndio maana anatumia fedha za umma kwenda kupambana na kesi ya kubambikizia, huku mambo ya msingi yakimshinda. Anashindwa kumkamata aliyekuwa anaitia serikali hasara, halafu anatumia hovyo pesa za serikali kwa kuendekeza siasa za kitoto, kisha unashanglia huo utoto kama zwazwa. Hapo wazungu wataacha kutuita manyani kweli?Mama hataki uonevu ndio maana amewaacha waendelee kula maisha
Vipi, wewe ni mstaafu?Sijui hawa watu watakuwa lini. Hizi mambo ni za kizamaniiiiiiiiii yaani
Polisi wanaonekana wana nguvu sababu hao wanao hawajiandai kupambana ila siku watakayojiandaa ndio watajua hawana nguvu.Askari wa jeshi la polisi wakiongozwa na kamanda wa kanda maalumu afande Muliro leo wamefanya mazoezi maalumu.
Afande Muliro amesema mazoezi hayo ni ya kawaida kwa askari kujiweka tayari kupambana na uhalifu.