Tman Clever
Member
- Dec 20, 2012
- 37
- 28
Tar 5/08/2021Askari wa jeshi la polisi wakiongozwa na kamanda wa kanda maalumu afande Muliro leo wamefanya mazoezi maalumu.
Afande Muliro amesema mazoezi hayo ni ya kawaida kwa askari kujiweka tayari kupambana na uhalifu.
KESI IMEHAIRISHWA HADI OCTOBER, HAKIMU ANADHARURA,
Tz nchi yangu, duhhhh 😭