IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,331
Ccm ilishafikia tamati siku nyingi tu kupitia space ya MariaPolisi wanafanya maigizo ya kitoto kupambana na watu wasio na silaha, wakati kuna mtu amejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, na hakuna lolote wamemfanya. Hao polisi wanaficha udhaifu wao wa kiutendaji kwa kuwafurahisha majizi ya kura. Hiyo Cdm haina mbunge hata mmoja, lakini promo lake sio la nchi hii. Kwahiki kinachoendelea naiona ccm ikifika tamati hivi karibuni.