Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,991
Hamna povu hapo...Mbona povu?
In God we Trust
Kwa israel mtoa roho... waliombeba mgonjwa wanaweza kufa na mgonjwa akarudi mtaani...
Kinda mystical
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna povu hapo...Mbona povu?
In God we Trust
Hamna povu hapo...
Kwa israel mtoa roho... waliombeba mgonjwa wanaweza kufa na mgonjwa akarudi mtaani...
Kinda mystical
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hivyo atakufa ataviacha?kama mwanadamu namwombea apone!
lakn habari za kusema kuchota busara si kweli! wao ndio wanaendesha hii serikali na chama tawala! huu uongozi unaakisi tabia zao. kama unaona awamu hii imejaa busara basi sawa nitaungana na ww! lakn kwa utendaji wa ccm ya leo hana hata robo ya busara!
wao ndio waratibu kuwanunua wapinzani,
kupora chaguzi zooote ndogo.
kwa mara ya mwisho aliposhika mic alitamka maneno mabovu sana! akasema mwaka huu ccm itashinda kwa % 99!! na kuhakikisha vyama vya upinzani vinakufa! je hizi ndio busara???????????
Nikiwa kama mtanzania na mzalendo wa kweli sinabudi kumtakia pole mzee wetu Mangula. Namuombea kila aina ya dua njema aweze kupona.
Mzee Mangula ni kati ya wazee wetu ambao kimsingi tunawatumia kama kisima cha kuchota busara.
In God we Trust
Ccm watu ninaoweza kuwaombea labda Mzee Warioba na Butiku ndio wazee ambao uzalendo wao hautiliwi shaka
Huyo Mangula ni nani hapa Tanzania?
Mshika mouth inayomuongoza magu
apone mzee wetu. ila hawa wazee wameshiriki sana kufanya mambo haram kukibeba kikundi cha kijani.
Tangu lini haya yakawa ya kweli?
Mzee Mangula ni mgonjwa siku nyingi
Kiongozi una haki yakusema/kutenda yale unayoona ni sawa kwako. Hapo nimeiondoa nafsi yangu katika hicho kipengele cha kuchota busara na si kwa ubaya.Ulitaka nisemje mkuu?
In God we Trust
Kweli karma IPO na inafanya kazi, huyu mzee alimrubuni Kagenzi dereva wa Dr slaa ili amwekee sumu, nadhani mnakumbuka kilichotokeaapone mzee wetu. ila hawa wazee wameshiriki sana kufanya mambo haram kukibeba kikundi cha kijani.
Wamkamate faza jesica wa mahojiano
Watawabambikiza hii kesi Chadema kama walivyofanya kwenye kesi ya the Late Akwilina R.I.PHawawezi kukamatana
In God we Trust
Kiongozi una haki yakusema/kutenda yale unayoona ni sawa kwako. Hapo nimeiondoa nafsi yangu katika hicho kipengele cha kuchota busara na si kwa ubaya.
Watawabambikiza hii kesi Chadema kama walivyofanya kwenye kesi ya the Late Akwilina R.I.P
Kweli karma IPO na inafanya kazi, huyu mzee alimrubuni Kagenzi dereva wa Dr slaa ili amwekee sumu, nadhani mnakumbuka kilichotokea
Wewe siyo mungu, jitazame isianze na wewe huko huko kwenu nyamadhokke
In God we Trust