Sasa watu wanaotumia double kik na ganja ndio watakuja kuikomboa nchi au kuiingiza gizani?Hahaa sio ujinga mkuu otherwise uwe huwajui panya road hiki ndio kizazi kitakachokuja kuikomboa Tanzania ni kizazi chenye uthubutu ambacho kwa sasa kinatest mitambo tu.
Kwa ufupi hawa ni watoto wetu wenyewe hata mwanao anaweza kua humo watoto hawa wanatumia bangi na vilevi kama double kick wakipata vitu vyao hakuna wanachoogopa hata kuua
Wana kua na viongozi wao na wana serikali zao za mtaa ukisikia serikali ya kigogo serikali ya Gongo la Mboto serikal ya Buza oooooos nakuaminia mwamba sasa hizo serikali zinakua na viongoz wao wakitaka kufanya tukio kila kiongozi wa serikali analeta vijana wake kumi au 20 wakua si chini ya hamsini kwa misheni moja wakiwa na dhana mbali mbali kasoro bunduki na tukio linafanywa kwa muda mchache sana ndani ya nusu saa wanapotea kizazi chetu sisi 1960_1980 kinaogopa kupasuka na tuna majukumu mengi wao hawana kitanda hawana nyumba hawana familia furaha yao ni huo ubabe
JPM ni lini aliwahi kupiga doria mtaani kuwasaka Panya road?JPM aliwezaje kuwashughulikia watu km hawa
Si huwa mnatudharau polis pambambaneni na nyie
Ingekuwa mwezi wa pili ningesema wachanganywe na Chadema ili iwe rahisi kuwakamata.
Si huwa mnatudharau polis pambambaneni na nyie
Tatizo la watu wa Dar ni kukosa umoja ndio maana panya road wanapeta, watu wa mikoani wana umoja na wanapenda kusaidiana wao kwa wao.Kama vijana Hawa wadogo wavuta bangi tu wanasumbua mkoa was dar nashindwa kuelewa utendaji wa vyombo vya usalama nchini yaani mkuu wa majeshi yupo huko dar, mkuu wa polisi yupo huko dar, TISS wapo huko dar (makao makuu)
Mkuu wa mkoa upo hapo na wewe ndo mwenyekiti was usalama was mkoa wakuu was wilaya wapo hapo nao wametulia tu aisee Kuna wakati ni Kama vichekesho
Nyinyi mnafanya Nini kwenye hizo ofisi ?
viongozi wote wakubwa kuhusu ulinzi wanapenda kukaa dar ila wanakuja Hawa wavuta bangi wanafanya mji usiwe unalalika na hakuna kinacho tokea
Shame on you simion sirro, shame on you mabeyo, shame on you wote wenye mamlaka dar na haya matoto mavuta bangi wakiendelea kusumbua na nyinyi mpo tu
Yaani tuseme Kila mtaa was hapo dar mmeshindwa kuwatambua Hawa vijana ?
Mbona mnafanya sisi wa huku mikoani tuone nyinyi watu w dar mmezubaa Sana ?
Kwamba watendaji wa kata, wenyeviti, majirani, wazazi/walezi kweli mmeshindwa kuwatambua hao vijana ?
Mbona Kama hiki ni kituko tu kwamba hamwajui ?
Mimi nadhani makundi niliyoyataja hapo juu lazima mnawajua Hawa vijana
Sasa inakuaje mnashindwa kuwachukulia hatua ?
Au tuseme mnawaogopa ?
Endeleeni kukaa hivyo hivyo siku watakuja kuwabaka wake zenu nanyi mtakua mnashuhudia
Mngembana ataje wenzie woteKuna dogo mmoja alitelekezwa na wenzake kule vingunguti msimbazi badala ya kuwafanyia sapraizi,,tulikamata yule dogo tulimpa dozi hadi kujinyea...walichotuudhi walimvamia mmama na aliyekuwa na kitoto kichanga wakakidhuru na panga mkononi
thubutuuu...wale waliobaki ndio watakua na roho ya unyama zaidi
Hivi wanaume.wa huko Dar wakati wa tukio na wenyewe wanamsha au wanapambana.Fikiria wakija mumeo atapamban nao au atasepa awaache.thubutuuu...wale waliobaki ndio watakua na roho ya unyama zaidi
Yaah ili nch ikomboke lazima watu wakubal kukimbia juu ya mait za mwenzao huku wanaimba kama unavyoona misri ba tunisia lazima watu wasiogope wasipoogopa bas jesh litaua mpaka litaogopa hawa watoto sio waoga kama sisi baba zao maana sisi kila mtu anaogopa kupasuka kaz kukaa kwenye simu na kufurumusha matusi kwa serikal huku tukitumia id fake kizaz cha tano na cha sita ndio kitalikomboa taifa hili panyaroad ni kizaz cha nne watoto wao ndio watamaliza kaz kizaz cha kwanza kina kingunge na kina nyerere cha pili kikwete maguful mkapacha tatu nape makamba makonda sabaya cha nne nondo shaka na cha tano ni hiko cha panyaroadSasa watu wanaotumia double kik na ganja ndio watakuja kuikomboa nchi au kuiingiza gizani?
Arusha kuna teleza hatari tupuPunguza ukali wa maneno panya road wanakushtukiza hata Kama upo fit kiasi gani lazima ukae maana huna taarifa Kama wanakuja na wanakuja Kama nyuki
Kuwadhibit wananch muunganishe mob na mkikamata mmoja choma moto rekod video watumien hapo ndio wanakuwaga wadogoSiku hizi mmoja kati yao hakosi gun yani ukijichanganya na kipanga chako utastukia tu mwili wa baridi
Usiongee usilolijua mkuu. Tuulize sisi wahangaPanya road hawaingii nyumbani kwa mtu wanatembea mtaani wanavamia biashara za watu na watembea kwa miguu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mawazo yake na mbinu zake zipo hai zinapumua tuzitumieMAGUFULI amekufa, haina maana hata ukimtaja hapa. Kwa ufupi HUNA AKILI.
Masikini mnapenda kuoneana sana huko uswahilini kwenu, Kama hao panya road wao ni makauzi kweli waje wapige tukio moja pale Upanga au Masaki tuone Kama kuna panya atafika hata pale fire!!Ulinzi shirikishi upo lakini unaanzia saa sita usiku, panya road wanavamia saa 2, 3 ,4 wakiwa na mapanga visu sime nk
Acheni kuwachosha polisi kwa vitu vya kipumbavu. Hivi hao watoto si wapo mitaani kwetu? Kama wapo 50 wanakosekana vijana 50 wakuwadhibiti hao watoto?Kama vijana Hawa wadogo wavuta bangi tu wanasumbua mkoa was dar nashindwa kuelewa utendaji wa vyombo vya usalama nchini yaani mkuu wa majeshi yupo huko dar, mkuu wa polisi yupo huko dar, TISS wapo huko dar (makao makuu)
Mkuu wa mkoa upo hapo na wewe ndo mwenyekiti was usalama was mkoa wakuu was wilaya wapo hapo nao wametulia tu aisee Kuna wakati ni Kama vichekesho
Nyinyi mnafanya Nini kwenye hizo ofisi ?
viongozi wote wakubwa kuhusu ulinzi wanapenda kukaa dar ila wanakuja Hawa wavuta bangi wanafanya mji usiwe unalalika na hakuna kinacho tokea
Shame on you simion sirro, shame on you mabeyo, shame on you wote wenye mamlaka dar na haya matoto mavuta bangi wakiendelea kusumbua na nyinyi mpo tu
Yaani tuseme Kila mtaa was hapo dar mmeshindwa kuwatambua Hawa vijana ?
Mbona mnafanya sisi wa huku mikoani tuone nyinyi watu w dar mmezubaa Sana ?
Kwamba watendaji wa kata, wenyeviti, majirani, wazazi/walezi kweli mmeshindwa kuwatambua hao vijana ?
Mbona Kama hiki ni kituko tu kwamba hamwajui ?
Mimi nadhani makundi niliyoyataja hapo juu lazima mnawajua Hawa vijana
Sasa inakuaje mnashindwa kuwachukulia hatua ?
Au tuseme mnawaogopa ?
Endeleeni kukaa hivyo hivyo siku watakuja kuwabaka wake zenu nanyi mtakua mnashuhudia