Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,462
- 4,541
Nikuwekee hapa thread za humu JF watu wakilalamika khs hao panya road kwny awamu iliyopita?
Tukumbushe bhana.ππππ
Nikuwekee hapa thread za humu JF watu wakilalamika khs hao panya road kwny awamu iliyopita?
Kamata woootee then peleka kwenye gereza huko Sumbawanga au Katavi wakalime for 5 years wakitoka huko wamenyoooka....
Nasikia wanaume wa Dar laini kama kigoli. Hata hao ulio wataja hapo juu waoga kinoma. Wanaujasiri kwenye maiki, mbele ya kamera. Nasikia ukienda Dar unaweza tobolewa macho na vibaka mbele ya kituo cha polisi. Mimi bilisha achana na mawazo ya kwenda Dar!
ππππππππHivi wako wap wale polisi wakudhibiti fujo kule kwenye hoja ya katiba mpya?
Kama vijana Hawa wadogo wavuta bangi tu wanasumbua mkoa was dar nashindwa kuelewa utendaji wa vyombo vya usalama nchini yaani mkuu wa majeshi yupo huko dar, mkuu wa polisi yupo huko dar, TISS wapo huko dar (makao makuu)
Mkuu wa mkoa upo hapo na wewe ndo mwenyekiti was usalama was mkoa wakuu was wilaya wapo hapo nao wametulia tu aisee Kuna wakati ni Kama vichekesho
Nyinyi mnafanya Nini kwenye hizo ofisi ?
viongozi wote wakubwa kuhusu ulinzi wanapenda kukaa dar ila wanakuja Hawa wavuta bangi wanafanya mji usiwe unalalika na hakuna kinacho tokea
Shame on you simion sirro, shame on you mabeyo, shame on you wote wenye mamlaka dar na haya matoto mavuta bangi wakiendelea kusumbua na nyinyi mpo tu
Yaani tuseme Kila mtaa was hapo dar mmeshindwa kuwatambua Hawa vijana ?
Mbona mnafanya sisi wa huku mikoani tuone nyinyi watu w dar mmezubaa Sana ?
Kwamba watendaji wa kata, wenyeviti, majirani, wazazi/walezi kweli mmeshindwa kuwatambua hao vijana ?
Mbona Kama hiki ni kituko tu kwamba hamwajui ?
Mimi nadhani makundi niliyoyataja hapo juu lazima mnawajua Hawa vijana
Sasa inakuaje mnashindwa kuwachukulia hatua ?
Au tuseme mnawaogopa ?
Endeleeni kukaa hivyo hivyo siku watakuja kuwabaka wake zenu nanyi mtakua mnashuhudia
Wangekuwa waasi ningekuwa nao bega kwa begaHawa watoto ndo watakaoikomboa hii nchi , wote wenye mapenzi mema na hii nchi , wawape support panya road
Anaweza pigwa ndugu yakoTena mimi nawaunga mkono, wawatandike mapanga mpaka akili ziwarudie.
Kwahiyo akili yako inakutuma jiji kama Johannesburg halijapangwa?Tatizo ni mipango miji
Mitaa ingekuwa imepangwa kama Masaki,Oysterbay,Mbezi beach,Mikocheni panya road anaanzia wapi kuingia.?
Hili la makazi holela baada ya miaka 20 litakuwa limefika hatua mbaya makundi makubwa ya uhalifu magenge yenye silaha yatajitokeza na kuishi hii mitaa maana njia hazipitiki kwa magari hivyo hata dolia za polisi ni hamna.!
Wito wangu Serikali ianze kupima makazi bado hatujachelewa sana.!
Panya rodi wakitumika vizuri wanawezasaidia kupatikana kwa katiba mpyaHahaa sio ujinga mkuu otherwise uwe huwajui panya road hiki ndio kizazi kitakachokuja kuikomboa Tanzania ni kizazi chenye uthubutu ambacho kwa sasa kinatest mitambo tu.
Kwa ufupi hawa ni watoto wetu wenyewe hata mwanao anaweza kua humo watoto hawa wanatumia bangi na vilevi kama double kick wakipata vitu vyao hakuna wanachoogopa hata kuua
Wana kua na viongozi wao na wana serikali zao za mtaa ukisikia serikali ya kigogo serikali ya Gongo la Mboto serikal ya Buza oooooos nakuaminia mwamba sasa hizo serikali zinakua na viongoz wao wakitaka kufanya tukio kila kiongozi wa serikali analeta vijana wake kumi au 20 wakua si chini ya hamsini kwa misheni moja wakiwa na dhana mbali mbali kasoro bunduki na tukio linafanywa kwa muda mchache sana ndani ya nusu saa wanapotea kizazi chetu sisi 1960_1980 kinaogopa kupasuka na tuna majukumu mengi wao hawana kitanda hawana nyumba hawana familia furaha yao ni huo ubabe
Kwani Siro anasemaje?
Yaah ili nch ikomboke lazima watu wakubal kukimbia juu ya mait za mwenzao huku wanaimba kama unavyoona misri ba tunisia lazima watu wasiogope wasipoogopa bas jesh litaua mpaka litaogopa hawa watoto sio waoga kama sisi baba zao maana sisi kila mtu anaogopa kupasuka kaz kukaa kwenye simu na kufurumusha matusi kwa serikal huku tukitumia id fake kizaz cha tano na cha sita ndio kitalikomboa taifa hili panyaroad ni kizaz cha nne watoto wao ndio watamaliza kaz kizaz cha kwanza kina kingunge na kina nyerere cha pili kikwete maguful mkapacha tatu nape makamba makonda sabaya cha nne nondo shaka na cha tano ni hiko cha panyaroad
Acheni kuwachosha polisi kwa vitu vya kipumbavu. Hivi hao watoto si wapo mitaani kwetu? Kama wapo 50 wanakosekana vijana 50 wakuwadhibiti hao watoto?
Mbona kwenye maandamano mnajitia mashujaa?
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Sasa wewe subili hilo geshi mpaka uke kubakwa wewe na mkeo ndio akili zitakurudia.
Ukraine wananchi wameshika silaha kujilinda, sasa ingekuwa ndio watu wa type yako sijui ingekuwaje?
Jambazi akiingia ndani kwako, uwezo wakumdhibiti unao,utamdhibiti au utapiga simu polisi waje kwani ni kazi yao!?Ni KAZI ya Polisi kulinda watu na mali zao. Sasa unaposhangaa watu wakiita, polisi kwenye masuala kama haya Tunakuwa hatukuelewi.
Yaani sasa hivi raia wakianza kujichukulia sheria mkononi, hii itakuwa ni nchi au ni failed state? Kazi ya Polisi itakuwa ni nini?
Yaani mtu Civics ya darasa la tatu tu inakushinda?
SMH
Ni ujinga tu kuwalea hao watoto. Haya mambo wala hayahusianai na kizazi kinachoogopa wala kizazi jasiri. Ni mambo ambayo huwa yanaibuka katika jamii kutokana na sababu mchanganyiko za kijamii, kiuchumi na hata kisaikolojia (mob and/or peer psychology). Hali hii ni moja ya matatizo yanayoweza kujitokeza hasa katika miji (Social problems of urbanisation). Na hii ni duniani kote. Kusipokuwa na jitihada za kuwadhibiti linaweza kuwani tatizo kubwa kijamii kwani mkiwachekea ndo wanashamiri. Hata enzi ya hicho kizazi cha 1960-1980 unachokisema kinaogopa kulikuwa na Komandoo Yosso ambao walisumbua sana Dar es Salaam na pia walifikia hatua ya kusambaa na kuwa na matawi katika maeneo ya mikoa mingine mbalimbali hapa nchini. Ukiacha Yosso pia kulikuwa na ujambazi mkubwa na walikuwepo hata majambazi waliokuwa wanatumia fatuma (jiwe kubwa) kufumua ( maana siyo kubomoa) mlango wa aina yeyote ile.Hahaa sio ujinga mkuu otherwise uwe huwajui panya road hiki ndio kizazi kitakachokuja kuikomboa Tanzania ni kizazi chenye uthubutu ambacho kwa sasa kinatest mitambo tu.
Kwa ufupi hawa ni watoto wetu wenyewe hata mwanao anaweza kua humo watoto hawa wanatumia bangi na vilevi kama double kick wakipata vitu vyao hakuna wanachoogopa hata kuua
Wana kua na viongozi wao na wana serikali zao za mtaa ukisikia serikali ya kigogo serikali ya Gongo la Mboto serikal ya Buza oooooos nakuaminia mwamba sasa hizo serikali zinakua na viongoz wao wakitaka kufanya tukio kila kiongozi wa serikali analeta vijana wake kumi au 20 wakua si chini ya hamsini kwa misheni moja wakiwa na dhana mbali mbali kasoro bunduki na tukio linafanywa kwa muda mchache sana ndani ya nusu saa wanapotea kizazi chetu sisi 1960_1980 kinaogopa kupasuka na tuna majukumu mengi wao hawana kitanda hawana nyumba hawana familia furaha yao ni huo ubabe
Hahaa kwan panya road we huwajui hilo jina mmewapa nyiny ila wao hata hawajiiti panya road wao ni watoto wetu usikute hata wanao wapo kuwajua ni simple tu wawatumie wajumbe wa mtaan wanawajua vizur tunawajua sema wanafanya yote bila ushaid wa moja kwa moja hata ukimpeleka mahakama unashindwa kumfunga pata picha yule shoga anaefanya ushoga ukimpeleka mahakaman bila kumshika red handed atakushinda tu same to panya road ukimkamata hata kwenye tukio anaweza kukushinda na kujitetea mimi ni raia nineona panyaroad wanamapanga nikaamua kukimbia polis wakanikimbiza nakunikamata simple solution kipind cha maguful ilikua hiv wakuu wa polis walitoa ruksa isiyo rasm kua ukiamkata panya road kwenye tukio ueni tutawalinda mlioua hatutofanyauchunguz tukimkamata kama hajafanya tukio tutamshikilia jerakwa kumfanyia kama mbowe kumpotezea muda hata miaka mitano kwa kuumpapanya road huyo chakula kidogo kama adhab il asife hii ilisaidia sanaSirro kama upo humu au kama utapita hapa JF kama guest. Unaweza kuanza na huyu. Seems anafurahia sana vitendo vya Panya Road na pengine anawafahamu ni akina nani.
Yaani wenzako wamejeruhiwa huko, wengine walikuwa wanategemewa na familia zao kwa sasa hawawezi kufanya shughuli zao alafu wewe unatetea?
Tukombolewe kutoka kwenye nini?
Yaani uchunguzi uanzie hapa kwakweli. Polisi Tanzania chondechonde msimuache huyu.
wameishapatikana mkuu ni vitoto saizi vinachezea bakora seloHawa nguvu wanatoa wapi? Polisi wanafanya nini?