Polisi yatangaza kuwashikiliwa watuhumiwa 6 wa Panya Road baada ya tukio la Kunduchi

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,801
11,961
Saa chache tangu kutoka kwa tukio la watu kujeruhiwa kwa mapanga na kikundi kinachodaiwa kuwa ni 'Panya Road' katika eneo la Kunduchi Mtongani Jijini Dar es Salaam, watu sita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi.

Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro amezungumza hayo leo Mei 2, 2022 akieleza kuwa wanawashikilia watu hao kwa mahojiano ili waeleze walipo wenzao na wanapeleka wapi vitu hivyo baada ya kuiba.

Amesema watuhumiwa ni vijana wadogo ambao waliamua kuacha shule na kujihusisha na matumizi ya dawa za kulevya aina ya bangi.
 
Wataje maiina yao
Wataje umri wao
Wataje mahali wanapotokea ili wananchi wa maeneo hayo watoe ushirikiano.

Na ionekane wanapelekwa mahakamani.
Vinginevyo ni made up story tu kuwa wamewashikilia
 
Wataje maiina yao
Wataje umri wao
Wataje mahali wanapotokea ili wananchi wa maeneo hayo watoe ushirikiano.

Na ionekane wanapelekwa mahakamani.
Vinginevyo ni made up story tu kuwa wamewashikilia
Watoto wana haki zao
 
Wataje maiina yao
Wataje umri wao
Wataje mahali wanapotokea ili wananchi wa maeneo hayo watoe ushirikiano.

Na ionekane wanapelekwa mahakamani.
Vinginevyo ni made up story tu kuwa wamewashikilia
wange katwa miguu ili familia zao zije kuomba msaada kwa serikali jinsi ya kuwalea/kuwa tunza..
 
Naona matukio yanajirudia kipindi cha mzee wa msoga....komando yoso wamekuja kama panya road...Mama upigaji wake mwingi ila awe makini
 
Wataje maiina yao
Wataje umri wao
Wataje mahali wanapotokea ili wananchi wa maeneo hayo watoe ushirikiano.

Na ionekane wanapelekwa mahakamani.
Vinginevyo ni made up story tu kuwa wamewashikilia
Wanatuletea ukanjanja hapa.
 
Ila watu wa dsm kuna mahali mnafeli sana. Yaani Leo mnavamiwa mnasubiri kutangazwa kwenye TV tu na mapicha mengi. Nina uhakika hao vijana wangefanya hayo huku mikoani hakika hata kwenye TV msingewaona. Kuna watu majasiri huku sio mchezo. Ingepigwa mbiu tu halafu mngeona ushirikiano wa wanajamii. Tatizo lenu huko hata kusalimiana tu issue. Mnajifanya mpo busy na mbele saaana kumbe hamna kitu.
 
Saa chache tangu kutoka kwa tukio la watu kujeruhiwa kwa mapanga na kikundi kinachodaiwa kuwa ni 'Panya Road' katika eneo la Kunduchi Mtongani Jijini Dar es Salaam, watu sita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi.

Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro amezungumza hayo leo Mei 2, 2022 akieleza kuwa wanawashikilia watu hao kwa mahojiano ili waeleze walipo wenzao na wanapeleka wapi vitu hivyo baada ya kuiba.

Amesema watuhumiwa ni vijana wadogo ambao waliamua kuacha shule na kujihusisha na matumizi ya dawa za kulevya aina ya bangi.
Tafadhali jeshi letu la polisi, tunawaomba muwachome moto hao watoto/watuhumiwa ili liwe fundisho kwa wengine
 
Back
Top Bottom