Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Wapi CCM imetajwa au umeanza kuwashwawashwa na pilipili usoilaHuyo wakili anatunza fedha kwenye kabati la ofisini kwake?
Wahshi kabisa yaani!!
Halafu ni watu wasiojulikana kivipi?
Toka lini wezi wakawa wanajulikana?
Manake isije tu kuwa ni wezi wa kawaida lakini nyie mnataka kuwahusisha na CCM...