Maboksi yamekupoteza maarifa, hebu niiweke hivi " kabati la kutunzia fedha na nyaraka" i.e. safe. Umeelewa?Sasa hiyo si inawekwa kwenye cash register inayokuwa emptied kila EOB au...?
Sent using Jamii Forums mobile app
Maboksi yamekupoteza maarifa, hebu niiweke hivi " kabati la kutunzia fedha na nyaraka" i.e. safe. Umeelewa?Sasa hiyo si inawekwa kwenye cash register inayokuwa emptied kila EOB au...?
Kwa sasa hata gari ikipata pancha wewe sema watu wasiojulikana wameipa tairi pancha, hata hela zikipotea home dai watu wasiojulikana, chochote kile kwenye maisha yako kikivurugika, laumu watu wasiojulikana!Huyo wakili anatunza fedha kwenye kabati la ofisini kwake? Wahshi kabisa yaani!! Halafu ni watu wasiojulikana kivipi? Toka lini wezi wakawa wanajulikana? Manake isije tu kuwa ni wezi wa kawaida lakini nyie mnataka kuwahusisha na CCM...
watajuta kumchagua Tundu LisuMawakili awamu hii wamekua maadui.Napendekeza serikali ifute kazi hiyo watuhumiwa wajitetee wenyewe
Nadhani shida yao ilikuwa documents ila huwezi vunja safe kirahisi inabidi wapeleke kwenye sehemu nyeti hivyo pesa nadhani ni just kiduchu. Hao wasiojulikana wanatupeleka kubaya.Ila ni pesa ndogo si ya kubeba safe .. Kuna jamaa amesema kulikuwa na nyaraka muhimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona umekimbilia kuwashuku ccm badala ya CUF au ATC?Huyo wakili anatunza fedha kwenye kabati la ofisini kwake?
Wahshi kabisa yaani!!
Halafu ni watu wasiojulikana kivipi?
Toka lini wezi wakawa wanajulikana?
Manake isije tu kuwa ni wezi wa kawaida lakini nyie mnataka kuwahusisha na CCM...
Mkuu ni wewe au hii account ya Ngabu ipo hijacked. Your comments are so fragile nowadays.Huyo wakili anatunza fedha kwenye kabati la ofisini kwake?
Wahshi kabisa yaani!!
Halafu ni watu wasiojulikana kivipi?
Toka lini wezi wakawa wanajulikana?
Manake isije tu kuwa ni wezi wa kawaida lakini nyie mnataka kuwahusisha na CCM...
kabisa ni kusubiri uchunguziNadhani shida yao ilikuwa documents ila huwezi vunja safe kirahisi inabidi wapeleke kwenye sehemu nyeti hivyo pesa nadhani ni just kiduchu. Hao wasiojulikana wanatupeleka kubaya.
kwani kuna sehemu wametaja ccm hapo chief.!!?Huyo wakili anatunza fedha kwenye kabati la ofisini kwake?
Wahshi kabisa yaani!!
Halafu ni watu wasiojulikana kivipi?
Toka lini wezi wakawa wanajulikana?
Manake isije tu kuwa ni wezi wa kawaida lakini nyie mnataka kuwahusisha na CCM...
Jishangalie mwenzangu..Hawa ndo wale tulioambiwa wanawashwaNi wapi Ccm imetajwa?
Hivi shule mmekwenda kusomea nini (FF) ni kabati la kutunzia fedha na nyaraka period!!Huo ni wezi tuu...aache kutunza fedha ofisini....
Unauliza na Kujijibu mwenyewe,Huyo wakili anatunza fedha kwenye kabati la ofisini kwake?
Wahshi kabisa yaani!!
Halafu ni watu wasiojulikana kivipi?
Toka lini wezi wakawa wanajulikana?
Manake isije tu kuwa ni wezi wa kawaida lakini nyie mnataka kuwahusisha na CCM...
Kwanini wakili mzima anaweka fedha nyingi kwenye kabati.. Jinga kabisa, hivi hii akili au matope? Tokea lini mwizi akajulikana? Kwnn asiweke fedha bank? Na lazima hizo fedha zitakuwa nyingi sana kapewa na Manji kwa ajili ya kesi..
Nawaza may be.. Au labda wakili kamgeuka Manji na kupanga dili ili amuibie hizo fedha ili isemekane watu wasiojulikana wamevunja ofisi?.. Sbb naamini zitakuwa fedha nyingii sana.. Maana hili litakuwa dili kabisa..
Dunia hii jamani.. Haaaa wee mapesa unaweka kabatini?
* Hapa Kazi Tu*
Naona unaitendea haki signature yako, kuwaza kwako, presentation ya hoja zako, etc. Kweli wewe ni mwafrika haswaa.Ndiyo.
Ubaya upo.