yakowazi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2012
- 1,771
- 627
huyu naye aliyekuambia usikilize hiyo habari ninani >>>???????Tumechoka kusikia habari hii
huyu naye aliyekuambia usikilize hiyo habari ninani >>>???????Tumechoka kusikia habari hii
Nenda Nairobi kamjulie hali Tundu Lissu ,hizo habari za mkuu wa mkoa hazitusaidia wangapi wamesoma na wameshindwa kudeliver?Makonda ni mchapa kazi hodari angalia mambo anayoyafanya jijini Dar Es Salaam,chuki binafsi zako hazitusaidii wala hazimfanyi Makonda ashindwe kufanya kazi wewe endelea kuloloma na kushinda humu mitandaoni kwa kupoteza bundle zako kwa gubu lako dhidi ya Makonda,haya tuambiwe wewe uliyesoma una nini cha zaidi kama si kuleta ujinga kila siku humu mitandaoni,hangaika na ya kwako badala ya kupoteza muda kwa kuhangaika na ya wengineUzi huu hauna umuhimu wowote zaidi ya kuweka kumbukumbu katika hatua ambazo nchi yetu inapitia kama unavyojua JF ni archive ya mabaya na mazuri ya mama Tanzania.
Kwa mfumo wa elimu ya Tanzania unapohitimu kidato cha nne na kupata daraja sifuri hutatunukiwa cheti chochote. Kwa maana kwamba hutatambulika kama "uliyemaliza" form four......means tukiwaita waliohitimu form four wewe ukiitika utakuwa unajidanganya tu,maana huko mbele uyashindwa kutoa cheti
Hivyo kwa kuwa hujahitimu kidato cha nne ila umehitimu na kutunukiwa cheti cha darasa la saba hivyo mtu huyo hatatambulika kama muhitimu wa form four bali muhitimu wa darasa la saba.
Kwa logic huyo basi Paul Makonda ambaye ni mkuu wa mkoa wa Dar ni muhitimu wa darasa la saba.
Nimefanya utafiti wa mikoa yote bara na visiwani wakuu wa mikoa yote ni mkoa wa Dar pekee kwenye mkuu wa mikoa darasa la saba
Na pia ni mkuu wa mikoa pekee ambaye haieleweki anaitwa Paul Makonda au Daud Bashite!!
Kumbukumbu hizi ni muhimu sana. Kama Magufuli amelazimisha tuongozwe na mtu wa namna hii atashindwa vipi kulazimisha kumuachia ikulu?
Jioni Njema wakuu
Wamseme mtoto wa baba hawajipendi??Necta wamesema hawana jina la paul makonda wala daudi bashite.
Mimi nachapa kazi sana ila fagio la vyeti feki limenipitia; sasa mbona wengine tena wa la saba wanapona? Nchi ina sheria mbili?Nenda Nairobi kamjulie hali Tundu Lissu ,hizo habari za mkuu wa mkoa hazitusaidia wangapi wamesoma na wameshindwa kudeliver?Makonda ni mchapa kazi hodari angalia mambo anayoyafanya jijini Dar Es Salaam,chuki binafsi zako hazitusaidii wala hazimfanyi Makonda ashindwe kufanya kazi wewe endelea kuloloma na kushinda humu mitandaoni kwa kupoteza bundle zako kwa gubu lako dhidi ya Makonda,haya tuambiwe wewe uliyesoma una nini cha zaidi kama si kuleta ujinga kila siku humu mitandaoni,hangaika na ya kwako badala ya kupoteza muda kwa kuhangaika na ya wengine
Sio wote. Wengine bado inatuduawaza. Tukifikiria humu JF pekee Kuna mamia ya watu ambao wangepewa wadhifa ule na kufanya vizuri.Tumechoka kusikia habari hii
Sema UmechokaTumechoka kusikia habari hii
Hivi Huyu RC anatumia nickname au fake name..?
Nauliza tu
Sasa anaitwa naniNecta wamesema hawana jina la paul makonda wala daudi bashite.
Asee kazi kweli kwelihuku mbeya mjini, mbunge wetu hatujui hata kaishia darasa La ngapi! ila namkubali tu hvyohvyo! dunia duara
Huu ndio ule ambao mheshimiwa Mkapa aliuita wivu wa kike. Unabakia na maumivu ya moyoni ambayo hata wale madaktari wa China hawawezi kuutibu.Mimi nachapa kazi sana ila fagio la vyeti feki limenipitia; sasa mbona wengine tena wa la saba wanapona? Nchi ina sheria mbili?
Sugu Ni form 4 leaver na hajafoji popote tofauti na Bashite ambae hajulikani kama ni Nyani au Tumbili.huku mbeya mjini, mbunge wetu hatujui hata kaishia darasa La ngapi! ila namkubali tu hvyohvyo! dunia duara