Mbezi mwisho ndio Mwisho wa kushusha abria,huko kwingine wewe shusha tu.Kwa hiyo hata wanaoshukia njiani walazimishwe kwenda mbezi? CCM inana upungufu wa watu wanaotumia akili
Mbezi mwisho ndio Mwisho wa kushusha abria,huko kwingine wewe shusha tu.Kwa hiyo hata wanaoshukia njiani walazimishwe kwenda mbezi? CCM inana upungufu wa watu wanaotumia akili
MkuuHuyu ni mjinga na mpumbavu, asitoe maagizo bila yeye mwenyewe kufanya jaribio la kusafiri na bus toka mikoani akiwa na mizigo mingi na watoto wadogo, uwepo wa hiyo stand na miundombinu isiyokamilika unasababisha adha kubwa sana kwa abiria hasa wa kipato cha chini, wengi wao wakiwa ni akina mama, abiria hao wanaingia gharama kubwa kukodi matoroli na kuvusha mizigo na watoto kutoka stand kuu kwenda stand ya daladala ambayo nayo imejaa vuruguna usumbufu kutoka kwa wapiga debe, mazingira ya hizo stand mbili siyo rafiki kabisa kwa low income earners, yametengenezwa kuwanyonya watu wa tabaka la chini na kuwafavour wafanyabiashara.
Ningemuona huyo RC ana akili iwapo angesafiri kwa daladala toka mjini hadi hapo Mbezi halafu apande bus alfajiri akiwa na mizigo na watoto wadogo, kisha jioni arejee toka mkoani akiwa na watoto na mizigo, ashuke hapo avuke barabara, atafute usafiri wa daladala kwenda mjini, baada ya hapo atumie experience hiyo kutoa matamko, vinginevyo atakuwa amefanya upumbavu mkubwa mno kutoa maamuzi bila kujionea hali halisi ilivyo hapo stand.
Matamko aliyotoa ni ya kipumbavu na kijinga kabisa, amekosa ubunifu wa kuwabaini wahamiaji haramu, badala yake anatafuta njia rahisi ya kukidhi haja yake bila kujua mateso wanayopata wananchi masikini. Huu ni ujuha wa kiwango cha juu kabisa, wenye mabasi wamekuwa wakiwapa unafuu wasafiri wanaokwenda mjini kwasababu ya adha zilizopo hapo stand, yeye anaongeza shida juu ya shida badala ya kutafuta mbinu ya kuwakabili wahamiaji haramu anawakabili wananchi masikini wenye kipato duni kabisa. Atambue kwamba ukuu wa mkoa ni kuumiza kichwa, siyo kulala na kufikiria pombe, ukuu wa mkoa ni kufikiria namna bora za kuwapa unafuu wananchi, maagizo aliyotoa ni ya kuwatesa wananchi.
Katika wapumbavu, huyo RC ni wa kwanza, hivi hajui kuwa tatizo la usafiri wa daladala limepunguzwa na hayo mabasi?Siyo muda mrefu hilo agizo litatenguliwa aidha na yeye au mkuu wake
Tunazungumzia mfumo wa kuwapa unafuu wasafiri hatuzungumzii proximityMkuu
Ili Stand ya mabasi iwe karibu na kila mkazi wa Dsm...ilitakiwa ijengwe wapi?
Nimeshangazwa sana na uamuzi huo,nadhani hakushauriwa vizuri.Sasa Mheshimiwa Makalla, mfano: sisi tunaoishi Mbagala tumepanda basi la kutoka Mtwara au Songea, ina maana tufike Mbezi Louis tushuke halafu tutafute daladala ya kurudi Mbagala?
Ukumbuke mabasi mengine yanaingia Dar usiku.
Haya mateso yote ya nini?
Huu ujinga unapatikana Tanzania tu.Au kwa mfano nimetoka Arusha na BM kufika Mbezi kituoni limeshusha abiria na likitoka hapo linaelekea kwenye ofisi zao zilizopo Shekilango,nami naishi Manzese.
Je hawaruhisiwi kuja kunishusha Shekilango?.
Ni lazima nishukie Mbezi?.
Point lakini lugha kaliiiiiHuyu ni mjinga na mpumbavu, asitoe maagizo bila yeye mwenyewe kufanya jaribio la kusafiri na bus toka mikoani akiwa na mizigo mingi na watoto wadogo, uwepo wa hiyo stand na miundombinu isiyokamilika unasababisha adha kubwa sana kwa abiria hasa wa kipato cha chini, wengi wao wakiwa ni akina mama, abiria hao wanaingia gharama kubwa kukodi matoroli na kuvusha mizigo na watoto kutoka stand kuu kwenda stand ya daladala ambayo nayo imejaa vuruguna usumbufu kutoka kwa wapiga debe, mazingira ya hizo stand mbili siyo rafiki kabisa kwa low income earners, yametengenezwa kuwanyonya watu wa tabaka la chini na kuwafavour wafanyabiashara.
Ningemuona huyo RC ana akili iwapo angesafiri kwa daladala toka mjini hadi hapo Mbezi halafu apande bus alfajiri akiwa na mizigo na watoto wadogo, kisha jioni arejee toka mkoani akiwa na watoto na mizigo, ashuke hapo avuke barabara, atafute usafiri wa daladala kwenda mjini, baada ya hapo atumie experience hiyo kutoa matamko, vinginevyo atakuwa amefanya upumbavu mkubwa mno kutoa maamuzi bila kujionea hali halisi ilivyo hapo stand.
Matamko aliyotoa ni ya kipumbavu na kijinga kabisa, amekosa ubunifu wa kuwabaini wahamiaji haramu, badala yake anatafuta njia rahisi ya kukidhi haja yake bila kujua mateso wanayopata wananchi masikini. Huu ni ujuha wa kiwango cha juu kabisa, wenye mabasi wamekuwa wakiwapa unafuu wasafiri wanaokwenda mjini kwasababu ya adha zilizopo hapo stand, yeye anaongeza shida juu ya shida badala ya kutafuta mbinu ya kuwakabili wahamiaji haramu anawakabili wananchi masikini wenye kipato duni kabisa. Atambue kwamba ukuu wa mkoa ni kuumiza kichwa, siyo kulala na kufikiria pombe, ukuu wa mkoa ni kufikiria namna bora za kuwapa unafuu wananchi, maagizo aliyotoa ni ya kuwatesa wananchi.
Ni jambo jema kwakuwaABC, Al Saedy wanawashusha abiria wanaoenda mjini huko mjini kwenye ofisi zao.
Wanaudhi sana hawa viongozi and all this comes kwakuwa wao wanatumia usafiri wa serikali, basi na wao wasafiri kwa mabasi na daladala tuone kama watafurahia huo utaratibuPoint lakini lugha kaliiiii
Katiba mpya alafu ipate msimamia Sheria Kama bwana masase 16 nahisi nchii itanyookaNadhani hizi nafasi za uRC na uDC zina shida mahali.. Kama hazijalaaniwa basi zina maruhani.. Mtu akishakalia hicho kiti kurukwa na akili na kuongea mazonge anapokuwa mbele ya cameras ni jambo la dakika
Ndio hivyo mkuu.Ni jambo jema kwakuwa
- Inampa unafuu msafiri kutohangaika na mizigo mara mbili au zaidi
- Daladala ni za kugombania sana, hivyo wasafiri kuendelea na safari kwenda mjini inapunguza usumbufu wa kugombea daladala
Huyu ni mjinga na mpumbavu, asitoe maagizo bila yeye mwenyewe kufanya jaribio la kusafiri na bus toka mikoani akiwa na mizigo mingi na watoto wadogo, uwepo wa hiyo stand na miundombinu isiyokamilika unasababisha adha kubwa sana kwa abiria hasa wa kipato cha chini, wengi wao wakiwa ni akina mama, abiria hao wanaingia gharama kubwa kukodi matoroli na kuvusha mizigo na watoto kutoka stand kuu kwenda stand ya daladala ambayo nayo imejaa vuruguna usumbufu kutoka kwa wapiga debe, mazingira ya hizo stand mbili siyo rafiki kabisa kwa low income earners, yametengenezwa kuwanyonya watu wa tabaka la chini na kuwafavour wafanyabiashara.
Ningemuona huyo RC ana akili iwapo angesafiri kwa daladala toka mjini hadi hapo Mbezi halafu apande bus alfajiri akiwa na mizigo na watoto wadogo, kisha jioni arejee toka mkoani akiwa na watoto na mizigo, ashuke hapo avuke barabara, atafute usafiri wa daladala kwenda mjini, baada ya hapo atumie experience hiyo kutoa matamko, vinginevyo atakuwa amefanya upumbavu mkubwa mno kutoa maamuzi bila kujionea hali halisi ilivyo hapo stand.
Matamko aliyotoa ni ya kipumbavu na kijinga kabisa, amekosa ubunifu wa kuwabaini wahamiaji haramu, badala yake anatafuta njia rahisi ya kukidhi haja yake bila kujua mateso wanayopata wananchi masikini. Huu ni ujuha wa kiwango cha juu kabisa, wenye mabasi wamekuwa wakiwapa unafuu wasafiri wanaokwenda mjini kwasababu ya adha zilizopo hapo stand, yeye anaongeza shida juu ya shida badala ya kutafuta mbinu ya kuwakabili wahamiaji haramu anawakabili wananchi masikini wenye kipato duni kabisa. Atambue kwamba ukuu wa mkoa ni kuumiza kichwa, siyo kulala na kufikiria pombe, ukuu wa mkoa ni kufikiria namna bora za kuwapa unafuu wananchi, maagizo aliyotoa ni ya kuwatesa wananchi.
Huyo hajitambui, anategemea ushauri wa baadhi ya watu wanaonufaika na huo usumbufu, lakini anasahau "kuchanganya za kuambiwa na zake" kuna watu wanaweza kumshauri vibaya ili kumng'oa kwenye nafasi hiyo.Ndio hivyo mkuu.
Makala hapa kaingia chaka tamko haliwezi kutekelezwa