Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,808
- 218,456
- Thread starter
- #201
Mungu ibariki JF
Wewe unajiona una akili..!!??Kuna vijana wa hovyo kama Mdude Nyagali na Martin Maranja Masese, hovyo kabisa wale jamaa
Nimeisoma ID yako nimeona inalingana na ulichokiandika..!!chadema Ina vijana wa ovyo Sana Mitandaoni hawajui kujenga hoja zaidi ya matusi.
Bora mbowe kaaamua kujitenga nao