mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 95,856
- 136,753
Kipindi cha Nyuma unga anakamatwa nao Mtu...Ukienda kwa mkemia wanasema ule Ulikuwa unga wa ngano au glucose Kumbe watu washahamisha magoliWakemia wakagueni wana utajiri wa kutisha, wanakula pesa nyingi kubadilisha matokeo. Unga wanasema sembe.
Ova