DAR: Mfanyabiashara wa dawa za kulevya akamatwa

DAR: Mfanyabiashara wa dawa za kulevya akamatwa

Wakemia wakagueni wana utajiri wa kutisha, wanakula pesa nyingi kubadilisha matokeo. Unga wanasema sembe.
Kipindi cha Nyuma unga anakamatwa nao Mtu...Ukienda kwa mkemia wanasema ule Ulikuwa unga wa ngano au glucose Kumbe watu washahamisha magoli

Ova
 
DCEA wanafanya kazi nzuri sana kuthibiti madawa ya kulevya!
ila mbinu zao za siku hizi zimekuwa za kimafia sana, why kila papa anayekamtwa anakuwa na gramu 250 ? rejea wakina HARIRI,BABU MTAMA MCHUNGU na wengine wa kinondoni..... kwa kifupi hawa mapapa wengi wameacha ila kuna funnunu kuwa kwa kuwa wamewatesa sana watanzania lazima wakanyee debe(eti wanapandikiziwa 250 gm kwqakuwa kwa sheria mpya haina dhamana)

ila pendekezo langu kwa Mtu kama ayubu kiboko ni wakupelekwa Marekani kama kushitakiwa kama wakina ADAM TIKO na SCUBA Hapa bongo anweza akashinda kesi mapema tu
Hawa hata kama wamebambikiwa mzigo sawa tu. Hivi huyu Lwitiko a.k.a Tiko nae kapelekwa USA? Ule mjumba wake pale magomeni makanya ni noma aisee
 
DCEA wanafanya kazi nzuri sana kuthibiti madawa ya kulevya!
ila mbinu zao za siku hizi zimekuwa za kimafia sana, why kila papa anayekamtwa anakuwa na gramu 250 ? rejea wakina HARIRI,BABU MTAMA MCHUNGU na wengine wa kinondoni..... kwa kifupi hawa mapapa wengi wameacha ila kuna funnunu kuwa kwa kuwa wamewatesa sana watanzania lazima wakanyee debe(eti wanapandikiziwa 250 gm kwqakuwa kwa sheria mpya haina dhamana)

ila pendekezo langu kwa Mtu kama ayubu kiboko ni wakupelekwa Marekani kama kushitakiwa kama wakina ADAM TIKO na SCUBA Hapa bongo anweza akashinda kesi mapema tu
Kesi zitakazo watesa hao wauza semble ni human traffiking na money loundry.....
Naona sahv padre yule wa kizungu atakuwa na ahuheni maana alikuwa analia sana na Kiboko

Ova
 
Hawa hata kama wamebambikiwa mzigo sawa tu. Hivi huyu Lwitiko a.k.a Tiko nae kapelekwa USA? Ule mjumba wake pale magomeni makanya ni noma aisee
tiko alisafirishwa pamoja na shukuba kwenda USA
Kuna article moja niliwahi soma mtandaoni kuhusu adam tiko alikuwa anapanga deal la kuwauzia drugs wamarekani ,kumbe walikuwa CIA ila akawachomoka na kukimbila TZ
ILA kwa kuwa nchi ilikuwa imeoza hii baada JPM kuingia madarakani ndio akakamtwa awamu iliyopita alikuwa anapeta tu mitaani huyu tajiri mtoto

picha: Shkuba na Tiko
shkuba-1.jpg
 
Hatimae Escobar wa bongo kakamatwa
yani wamewasaidia kuondoa competition,sa hivi kitu kitapanda bei na waliobaki watanza kupush kwenye territory yake. hii ni vicious circle haiwezi kuisha. hahaa na ikiisha hao DCEA watakosa kazi lazima kuwe na balance katika kila kitu.
 
Halafu lijamaa kama hilo unalikuta hata limefunga mwezi mtukufu halafu sadaka linatoa kubwa kweli!! lakini ndio hivyo tena anafanya nchi kuwa ya vichaa kwa madawa yake
Unauhakika na ukisemacho?
 
yani wamewasaidia kuondoa competition,sa hivi kitu kitapanda bei na waliobaki watanza kupush kwenye territory yake. hii ni vicious circle haiwezi kuisha. hahaa na ikiisha hao DCEA watakosa kazi lazima kuwe na balance katika kila kitu.
unauza na wewe lazima
 
Halafu lijamaa kama hilo unalikuta hata limefunga mwezi mtukufu halafu sadaka linatoa kubwa kweli!! lakini ndio hivyo tena anafanya nchi kuwa ya vichaa kwa madawa yake
oooh yes hata kina alex massaw utakuta kachangia mamilioni kanisani
 
Kesi zitakazo watesa hao wauza semble ni human traffiking na money loundry.....
Naona sahv padre yule wa kizungu atakuwa na ahuheni maana alikuwa analia sana na Kiboko

Ova
Tuwekee picha ya Kiboko mkuu.
 
Back
Top Bottom