DAR: Mfanyabiashara wa dawa za kulevya akamatwa

DAR: Mfanyabiashara wa dawa za kulevya akamatwa

Kwanini walilazimisha kumkagua kwa kutumia 'mbinu' zao? Isije ikawa hizo mbinu zao zinajumuisha package ya kumuachia huru baadaye. Ukaguzi una namna yake ya kufanywa kisheria, haya mambo ya mbinu ndiyo huwa yanatengeneza nyufa za watuhumiwa au waharifu kuachiwa huru.
Mbinu zao unaweza kuta ni kumbebea na mzigo wakamwekea aonekane wake. Polisi wakiwa wanamtafuta mtuhumiwa wa madawa wanafanyaga lolote kumkamata na kidhibiti maana bila hivyo inakua ngumu. Pia maboss wa hiyo kazi hawakaagi na mzigo nyumbani.
 
Safi sana....Kiboko muuza unga wa siku nyingi sana ameingiza makilo na makilo china...kuchukua muda mrefu kumkamata ilitokana na jamaa kuwahonga Hela maafisa kadhaaa......
Mtu kama huyu ni kumpeleka gereza Ngumu akapasue mawe tu atie akili.....

Ova
 
Mbinu zao unaweza kuta ni kumbebea na mzigo wakamwekea aonekane wake. Polisi wakiwa wanamtafuta mtuhumiwa wa madawa wanafanyaga lolote kumkamata na kidhibiti maana bila hivyo inakua ngumu. Pia maboss wa hiyo kazi hawakaagi na mzigo nyumbani.
Kinachofanyika sahv ni 4-4-2 formation
Hawa jamaa wanauza madawa sana wanaonywa waache....hawaskii bado wanatembeza sumu,Sawa Hata wakichomekewa whateva ilimradi wawahifadhi ndani watie akili....hawa walishafikia kuuza unga utadhania wanalipia kodi au wana kibali
Kwanza wafungwa wengi huko china wako jela walipelekwa na yeye

Ova
 
Muuzaji anakaa na unga nyumbani usawa huu?!...wacha akanyee debe


Unajuaje hadithi ya Kamanda Milanzi ni ya kweli?

Yani drug lord wa kimataifa uliyekuwa unamtafuta kwa miaka mingi unaenda kumshika kwa kidhibiti cha gramu 250 za unga za kum sachi? Hizo si ni kesi za kina Wema na Chidi?

Halafu, kama ilivyo ada, wameenda bila search warrant, jamaa akakataa wasije kumbambika. Polisi wakatumia "mbinu zao" kumsachi, mbinu gani za ku sachi ambazo polisi wa bongo wanazo FBI hawana? Maana hatujawahi kusikia kuna mbinu duniani za kusachi nyumba ambayo mwenyewe hajakubali na kasimama hapo hapo mlangoni. Uchawi?

Long and short of it ni kwamba hawana ushahidi wa kuridhisha na hawana credibility katika hako ka home searching kao kwamba hawajambambika vikete.
 
Kinachofanyika sahv ni 4-4-2 formation
Hawa jamaa wanauza madawa sana wanaonywa waache....hawaskii bado wanatembeza sumu,Sawa Hata wakichomekewa whateva ilimradi wawahifadhi ndani watie akili....hawa walishafikia kuuza unga utadhania wanalipia kodi au wana kibali
Kwanza wafungwa wengi huko china wako jela walipelekwa na yeye

Ova
Haijalishi watakavyokamatwa ila ikiwezekana wakamatwe tu.
 
Kwanini walilazimisha kumkagua kwa kutumia 'mbinu' zao? Isije ikawa hizo mbinu zao zinajumuisha package ya kumuachia huru baadaye. Ukaguzi una namna yake ya kufanywa kisheria, haya mambo ya mbinu ndiyo huwa yanatengeneza nyufa za watuhumiwa au waharifu kuachiwa huru.
Si ndio mkuu! Kama hawakuwa na kibali na walimkagua kwa kutumia hizo mbinu zao bila ya kibali huyo ataachiwa maana haiwezi kuhold mahakamani
 
Safi sana....Kiboko muuza unga wa siku nyingi sana ameingiza makilo na makilo china...kuchukua muda mrefu kumkamata ilitokana na jamaa kuwahonga Hela maafisa kadhaaa......
Mtu kama huyu ni kumpeleka gereza Ngumu akapasue mawe tu atie akili.....

Ova
Mkuu naomba utupe taarifa za huyu jamaa. Najua unamjua vizuri na shughuli zake.
 
Bashite hakuwaona hawa wana mihadarati sugu akaishia kuzalilisha watu tu
Bashite alijitengenezea vinyago vya watuhumiwa badala ya kukamata watuhumiwa halisi.

[HASHTAG]#kolomijezerobrainkabisa[/HASHTAG]
 
Wakemia wakagueni wana utajiri wa kutisha, wanakula pesa nyingi kubadilisha matokeo. Unga wanasema sembe.
 
Naona tayari mtuhumiwa amesha shinda kesi bado asubuhi....... Na hapo mkemia atasema kwamba hizo sio dawa za kulevya
 
Si aliishajipeleka mwenyewe polisi imekuwaje akawa yupo nje tena!
Hapo kuna michezo inachezwa itakuwa.
 
Unajuaje hadithi ya Kamanda Milanzi ni ya kweli?

Yani drug lord wa kimataifa uliyekuwa unamtafuta kwa miaka mingi unaenda kumshika kwa kidhibiti cha gramu 250 za unga za kum sachi? Hizo si ni kesi za kina Wema na Chidi?

Halafu, kama ilivyo ada, wameenda bila search warrant, jamaa akakataa wasije kumbambika. Polisi wakatumia "mbinu zao" kumsachi, mbinu gani za ku sachi ambazo polisi wa bongo wanazo FBI hawana? Maana hatujawahi kusikia kuna mbinu duniani kote ya kusachi nyumba ambayo mwenyewe hajakubali na yuko hapo hapo mlangoni. Uchawi?

Long and short of it ni kwamba hawana ushahidi wa kuridhisha na hawana credibility katika hako ka home searching kao kwamba hawajambambika vikete.

Search warranty ni muhimu pale unapoenda kukagua makazi ya mtu, ila isipokuwepo sio kigezo kwamba eti watu watashindwa kukukagua. Ni kubadilisha vifungu tu vya sheria kwa ku invoke scenario/circumstances ambazo zitalazimisha watu wakukague bila hiyo warranty na wakawa upande safe kisheria.

Hayo ya kukutwa na "kizibo" lolote linawezekana.
 
DCEA wanafanya kazi nzuri sana kuthibiti madawa ya kulevya!
ila mbinu zao za siku hizi zimekuwa za kimafia sana, why kila papa anayekamtwa anakuwa na gramu 250 ? rejea wakina HARIRI,BABU MTAMA MCHUNGU na wengine wa kinondoni..... kwa kifupi hawa mapapa wengi wameacha ila kuna funnunu kuwa kwa kuwa wamewatesa sana watanzania lazima wakanyee debe(eti wanapandikiziwa 250 gm kwqakuwa kwa sheria mpya haina dhamana)

ila pendekezo langu kwa Mtu kama ayubu kiboko ni wakupelekwa Marekani kama kushitakiwa kama wakina ADAM TIKO na SCUBA Hapa bongo anweza akashinda kesi mapema tu
 
Back
Top Bottom