Nataka kusafiri Dar-Mbeya kwa Toyota IST, nijuzeni haya

HAKUNAGA

JF-Expert Member
Jan 3, 2012
301
72
Wakuu nimedhamiria kusafiri kutoka DAR kwenda MBEYA kwa kutumia TOYOTA IST, lengo ni kufika MBEYA kabla ya saa saa moja jioni. Naomba kujuzwa vitu vya kuzingatia ili kufanikisha safari hii kama:
  • Muda wa kutoka Dar
  • Mwendokasi wa gari (Kilometer per hour)
  • Maeneo yenye tochi
  • Maeneo na muda wa kupumzika
  • Vitu vya kuchukua vya usalama (safety gear)
  • Kiasi cha petroli kitakachotumika
Mnaweza kuniongezea vitu vya ziada vya kuzingatia kwa kadri mtakavyoona yafaa ili nifanikishe safari hii
 
Dar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.

Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
 
Dar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.

Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
duh kwel we Mkali
 
Dar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.

Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
Maelezo mazuri sana.
 
Dar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.

Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
Hongera Mkuu umeongea kwa facts kabisa no longo longo
 
Dar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.

Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
Hahahaha Bonus tena?
 
Dar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.

Bonus;

unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
Huu sasa ndio hasa Utanzania aliotuachia mwalimu.. Yaani mtu anatumia muda wake anatoa maelezo matamu hadi unafurahia.. Hako kamzigo usiache kumbebea.. ha ha
 
Dar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.

Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
Nimeipenda point no.4 huwa naitumia sana kwenye kubana mafuta nikiwa long Safari,ingawa gari yangu siyo IST..
 
Dar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.

Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
Hongera kwa kujitolea kutoa ushauri lakini sijui kwanini nilipata kafeeling utamalizia kuomba lifti.
 

Dar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.

Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
Kwenye kamzigo tu hapo nimecheka!
 
Dar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.

Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
Kaka umemjibu vizur sana ,na mm umenisaidiaa kujua meng mungu akubaliki sana ,,kwa maelezo lazima mzigo wako atakusaidiaa ,, na mm naomba unisaidia kwa kutoka na toyota noah kutoka dodoma kwenda mbeya ,,highway lita moja inaweza kwenda km ngapi
 
Dar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.

Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba





Wats more can we say....
 
IST ziko fresh sana..nimetoboa nayo mpaka Mpanda mara mbili kupitia Dar-Mby-Tndm-Swanga-Katavi. Ila hakikisha hupakii mizigo mizito na Dar ondoka Alfajir kama mida ya saa 11
 
Back
Top Bottom