Hawajaacha dharau mpaka wapinduliwe wakamatwe washitakiwe na wafungwe, huu ni mwanzo naomba tufike mwisho.Natamani nimwone Kikwete anavyotembea kwa madharau! Pumbavu kabisa!
Hawajaacha dharau mpaka wapinduliwe wakamatwe washitakiwe na wafungwe, huu ni mwanzo naomba tufike mwisho.Natamani nimwone Kikwete anavyotembea kwa madharau! Pumbavu kabisa!
Unajua sometimes mambo huwa yanabadilika na hakuna mtu mbaya kama yule kila jambo lolote unalomwambia au mfanyia liwe baya au zuri yeye analichukua kama lilivyo na huoni aki react, ila itafika mahala anashindwa kuvumilia vile ambayo unazidi kumtendea na ndio hapo ubaya wake wazidi kuonekaa.I’ve goose bumps all over my body! I never thought this was even remotely possible!
Yeah, anza kuamini sasa imetokea.I have goose bumps all over my body! I never thought this was even remotely possible!
Old schoolKwa kweli I’m pleasantly surprised. That I can’t lie.
How could you even imagine it would be possible! You think that is some kind of stupendous revelation?I have goose bumps all over my body! I never thought this was even remotely possible!
Na 'Mzee Mwanakijiji'....Jifunze Sasa kuheshinu WATU na kuamini BILA HATA kuona aione Kiranga
Amejipambanua kuwa mtu wa hovyo sana huyo!Natamani nimwone Kikwete anavyotembea kwa madharau! Pumbavu kabisa!
Nani kaifunga, kwa sababu zipi?Namanga border imefungwa
Inawezekana wanasoma upepo ili wachague upande gani.Tume ya uchaguzi wanasemaje? Mpaka dakika hii hawajaanza kutoa updates, au bado wanazipika 😆😆😆
Mkuu,Jifunze Sasa kuheshinu WATU na kuamini BILA HATA kuona aione Kiranga
Wanategemea jeshi lisaidiye kumuondoa wasiyemtaka wakati huyo wasiyemtaka ni amiri jeshi mkuu.Mkuu,
Mimi bado sijawa impressed mpaka wamtoe Samia.
Kama hawajamtoa Samia watakuwa wametoa statement kubwa, wameenda pale ambapo hawajawahi kwenda, lakini hiyo haitamaanisha kuwa wamefanya kitu cha kubadilisha nchi cha msingi.
Kwa sababu fujo zote hizi wanavyofanya na kujirekodi kesho wanaweza kushitakiwa na hizi video zikatumika kama ushahidi kuwa walifanya looting.
Kama wale Wamarekani wa January 06 2021 waliovamia Congress.
Wakati Samia akiwa rais bado.
So. Mpango wa kumtoa Samia unaendaje?
Kama hakuna mpango wa kumtoa Samia bado mnacheza makida makida tu.
Watanzania wanaotaka utawala wa kijeshi, wengi kwenye hili ni kama watoto naive wasiojua utawala wa kijeshi ni nini.Wanategemea jeshi lisaidiye kumuondoa wasiyemtaka wakati huyo wasiyemtaka ni amiri jeshi mkuu.
Logic gani hii?
wamesahau, Mjeshi akitaafu anapewa tena keki ya ukuu wa mkoa aendelee kula, wewe utakua na akili timamu umpindue anae kupa ulaji? wanafikiri Tanzania ni kama ivory coastWanategemea jeshi lisaidiye kumuondoa wasiyemtaka wakati huyo wasiyemtaka ni amiri jeshi mkuu.
Logic gani hii?
Na wakimtangaza kimagumashi, Gen Z watawasalimia tu- hakuna namna.Inawezekana wanasoma upepo ili wachague upande gani.
A)Waseme uchaguzi haukukizi vigezo kwahiyo urudiwe kama Samia atakimbia nchi au
B)Wamsupport Samia na kumtangaza mshindi wa hichi kiini macho kama wanafikiri Samia atabaki madarakani na kuwalinda na hasira za Watanganyika.
Serikali imeanguka, acha kuwa delusionalNyie subirini muone mambo leo, ndio mtajua kwanini Tanzania kuna amani, jamaa walikua wanawatazama tu kwanza, wanawapa mda. Kinacho fatia ni kipigo cha mbwa, hakuna cha Gen z wala Gen X
Mfumo wa serikali uliopo wa kugawa fedha na kupandisha watu vyeo sio effective. Utagaia fedha wangapi ? Utapandisha watu vyeo wangapi ? Utaachia watu waibe wangapi ? Ndio maana sishangai hata huko jeshini kuna Majenerali wanasimama na wananchi.Nyie subirini muone mambo leo, ndio mtajua kwanini Tanzania kuna amani, jamaa walikua wanawatazama tu kwanza, wanawapa mda. Kinacho fatia ni kipigo cha mbwa, hakuna cha Gen z wala Gen X