Dar Lux kapotezwa?

🤣
Kwao pesa ipo. Baba ndio mmiliki wa azania group. Na tetesi kuwa ana connection na riz1. Huo uongo wa kitoto mno 🤣
 
Mi mwenyewe nimemgoogle huyo jamaa wa lae oil af ni chalii sana 36 yrs... Hizi investment za lake sio mchezo kila Kona wapo.... Au karithi pesa
Nilishakutana nae pale mchicha godown lake la kuhifadhia sulphur aiseee kijana mwenzetu kabisa huyu na huwezi mdhania hata kidogo
 
Biashara nyingi kama hizi zina mikono ya watu wa serikali na pesa chafu
Kiuhalisia wamiliki hizi kampuni ni wasimamizi tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…