Dar kumejaa wanawake wazuri sana

Akili 2

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2018
Posts
1,221
Reaction score
1,869
Habari,

Kweli nimeamini mjini ndio kila kitu! Hivi hawa wanawake wanao patikana hapa dar mbona wako tofauti sana na wa mikoa mingine?

Wale wanaume mnaokaa huko mikoani njoneni mchukuwe wanawake hawa maana ni...

1. Wazuri sana
2. Wanajuwa kupika
3. Wanajuwa mambo ya 6*6
4. Wasafi
5. Hawana malingo ya kipumbuvu
6. Wanajituma kwenye shughuri za maendeleo
Wako tofauti sana na wa kule kkwetu Arusha

Hawa wanatoka wapi?
 
Mimi sijakuona cute ila naamini wewe ni mzuri Kama ulivyojisifia
Nakuuliza swali la kizushi
Uzuri upo kwenye mashine Je mashine upande wako inasaga au inakoboa?
Umewahi kuniona? Mimi ni mrembo,bongo hamna mwanamke mzuri zaid yangu
 
Nimezungukia vimikoa kadhaa ila Dar madem wengi ni wasafi sana.
Pia wanajua kujipamba na kujiremba.

Mikoani wanawake wa aina hii wapo ila sio wengi sana kama Dar.
Kweli kabisa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…