Bepari la Kinyambo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 822
- 1,046
Hiyo laana mbwa huyo
Naona umeachiwa mkuuKAMA KUNA MWANAUME ATAISHI MAISHA YASOKUA NA STRESS NI HUYU DOGO NDANI YA NDOA YAKE.
KWAHUO UMRI WA BIDADA, NIWAZI BIDADA AKILI IMETULIAAAAAAA, HAINA UJINGA , YAAN AKILI IMEPIKWA, IKACHUJWA, IKAELEWA INATAKA NN!!.
Dogo apambane kutafuta, aendelee kusimama kama mwanaume.
Mkuu nmerudi sasa !!!Naona umeachiwa mkuu
KAMA KUNA MWANAUME ATAISHI MAISHA YASOKUA NA STRESS NI HUYU DOGO NDANI YA NDOA YAKE.
KWAHUO UMRI WA BIDADA, NIWAZI BIDADA AKILI IMETULIAAAAAAA, HAINA UJINGA , YAAN AKILI IMEPIKWA, IKACHUJWA, IKAELEWA INATAKA NN!!.
Dogo apambane kutafuta, aendelee kusimama kama mwanaume.
Dogo amzalishe Bidada chapchap watoto watatu , ...Atulie walee familia.
Hahahaha....Kafinywa ndani huku kazungushwa na uno la frni bovu, kwa mwendo wa wavi wavi
Kwani ndoa inahusishe umri na umri au mbunye na shubaka zilizokomaa?Hii ndoa ningekuwa mimi ni mchungaji sidhani kama ningeifungisha. Mpishano wa umri ni mkubwa sana.
Labda wachungaji mtusaidie kwa mujibu wa imani ya Kikristo je, ndoa ya aina hii ni halali kuifungisha?
Na kwa upande wa Waislamu nao je, ndoa ya mpishano mkubwa wa umri hivi inaruhisiwa?
Amesha sema kigoma !Msianze kujumuisha vijana wa Dar muulizeni huyo ni kabila gani
ukiangalia vizuri hizi picha tatu utajuwa kuwa huyo kijana hana ushirikiano mzuri wa kimapenzi na huyo mama kwanza anashindwa hata kumuangalia usoniKwa kifupi tuu, walikutana kwenye daladala, mama alisahau nauli nyumbani, kijana akamlipia na ndio ukawa mwanzo wa uhusiano wao.
Aliyeanza kuvunja ukimya ni bi mdashi, kifupi mama alimtongoza kijana, kijana naye akajaa, mama alikuwa muislam lakini amebadili dini na kuwa mkristo ili kumfuata kijana.
Kijana kwa muonekano ni marioo, familia yake imemsusia kuhusu suala hilo.
Mama ana watoto 3, kijana naye anasema kwa kuwa amependa boga basi hana budi kupenda na maua yake😊.
Harusi ni Jumapili hii tarehe 05/12/2021.
ASEEsioni problem hpo..mi nimegong sn hzi milf ni tmu sn..