Dar - Joburg -Dar (ATC 523 USD Vs Malawian 323 USD)?

Dar - Joburg -Dar (ATC 523 USD Vs Malawian 323 USD)?

Destination Ile Ile (3-4hours) ila tofauti NI 200USD anyway kupanga ni kuchagua!! Nionavyo ni kama tunamfanyia Promo Malawian airlines bila kujua. Hope ndege yetu inajaa!
Tangu lini serikali ya Tanganyika iweze competitive business, we angalia tu Udart kila kitu wanacho ila biashara inasuasua mpaka leo.
 
Tuna watu hawafikirii biashara
Naona unajitahidi kufufua uzi wako. Wasafiri wa kweli hawapendi hio connection. Direct flight ni option ya kwanza kwa msafiri serious. I'd rather pay extra than having extra take offs and landings.
 
Malawi airline ina abiria wengi sana kwa sisi tunaokata Tiket moja ni usd 263 na kupita hapo Blantyre ni dk 35 kusubiri ndege ingine labda itokee emergency na unafika mchana muda sahihi wa kufika JHB kuliko Rwanda wanafika alfajiri na hao ndugu zake ET kwa wanaosafiri mara kwa mara ndani ya mwezi mmoja wamenisaidia sana hao jamaa..
 
Unanunua ndege kwa pesa ya walipakodi wa Tanzania,unampa kada mjinga asimamie shirika
 
Malawi anakupeleka Kamuzu kwanza, wakati Atcl Direct... any way kupanga. ni kuchagua.
Kamuzu inakaa 15 minutes only na hamshuki kwenye ndege ni kuchukua abiria wa malawi so hakuna usumbufu wowote wala delay
 
Destination Ile Ile (3-4hours) ila tofauti ya nauli inazidi 200USD anyway kupanga ni kuchagua!!

Nionavyo ni kama tunamfanyia Promo Malawian airlines bila kujua

Hope ndege yetu inajaa!


Ndege za Malawi ni ndege mzee sana, so uchaguzi ni wako, jiulize swali ujijibu.
 
Back
Top Bottom