Mabreka
JF-Expert Member
- Aug 29, 2012
- 709
- 207
hata mie nilikuwa najiuliza ndo huyo?We ndo yule wa moro kiboko ya majambazi?
jamaa ana sifa kweli hata namba zake za sim **** 76 76 76 76
kaziandika kwenye gari yake, aliondoa ile nembo ya Ipsum na kuweka hizo figaz,
ila jamaa namkubali kwa kiasi chake