Dar iko shwari! Storm is over now!

We ndo yule wa moro kiboko ya majambazi?
hata mie nilikuwa najiuliza ndo huyo?
jamaa ana sifa kweli hata namba zake za sim **** 76 76 76 76
kaziandika kwenye gari yake, aliondoa ile nembo ya Ipsum na kuweka hizo figaz,

ila jamaa namkubali kwa kiasi chake
 
"The storm is over, i can see clearly Now.!'' iyo ni beti ya wimbo wa gwiji wa Musiki wa Marekani R.Kelly kama inavyobainisha katika Head ya uzi wako.
Mkuu.., Lakini mimi naona kama Nguvu nyingi imetumika,nikiangalia kwa haraka haraka vyombo vyote Muhimu vimetumika kuanzia Askari kanzu, polisi wa kawaida, FFU hadi wapiganaji wetu ( jwtz) kudhibiti kundi dogo la wahuni kama wengi wanavyowaita katika vurugu hizo.


Mimi nadhani kuwe na long term solution katika kumaliza vurugu hizo kwa serikali kuwangalia the root coz na siyo the sympton katika kushughulikia tatizo hilo...vipo vyombo kadhaa vya habari hapa Nchini ambavyo kwa makusudi vinachochea katika kuleta hamasa za kuvuruga Amani na utulivu wa jamii ya watanzania.., Serikali kupitia wizara ya Habari ina mamlaka ya kufuta au kufungia chombo chochote kinacho hatarisha amani kwa kuleta au kutangaza habari za uchochezi....,lakini bado tuu tunaona hali inakuwa mbaya na ndio matokeo yake aya.
alieandamana alafu akanusurika kukamatwa ukizingatia kichapo walichopewa wenzake kakiona, hawezi kuandamana tena siku za karibun hata umlipe pesa
 
alieandamana alafu akanusurika kukamatwa ukizingatia kichapo walichopewa wenzake kakiona, hawezi kuandamana tena siku za karibun hata umlipe pesa

hali ile haileti amani ya kudumu kwa kutumia mabomu au silaha, waangalie source jiulize chuki iliyo ktk moyo wa mtu itamalizwaje?
 
Back
Top Bottom