Wana JF,nachukua fursa hii kuvipongeza vyombo vya ulinzi na usalama kuzuia uvunjifu wa amani leo ktk jiji la DAR.
Mgambo wamefanya kazi kubwa sana,wamegawa dozi ya kufa mtu! big up mgambo.FFU ndio usiseme wamefanya kazi kubwa sana,polisi na askari kanzu nao wamefanya kazi kubwa sana leo kuhakikisha amani inarudi.Bila kusahau JWTZ nao wamefanya kazi kubwa sanan leo.
Mgambo wamefanya kazi kubwa sana,wamegawa dozi ya kufa mtu! big up mgambo.FFU ndio usiseme wamefanya kazi kubwa sana,polisi na askari kanzu nao wamefanya kazi kubwa sana leo kuhakikisha amani inarudi.Bila kusahau JWTZ nao wamefanya kazi kubwa sanan leo.