Dar express bus mnatia aibu

Dar express bus mnatia aibu

mwacheni mzee mremi upumzike bana, ashaihudumia sana hii nchi katika kiwango cha juu kabisa kwa usafir wa basi. lisilo na mwisho ,mwanzo wake haukuwepo.
Na atapumzika kweli..watu wanapiga kazi yeye kajisahau...Meridian hawana ujinga huu,klm,kidia na buffalo ndo mpango mzima...yeye apumzike tu!
 
Tangu Scandinavia Ife. Mabasi mengine naona ovyo. At least kidogo Kilimanjaro
 
hawa watu wa mikoani walalamishi sana bora tu waweke kiingilio kuja dar
 
nilitokaga namanga to dar na dar expres nilijutaa..wameshachina cku hz.
 
KLM Express wako vizuri, wanajitahidi. Give it a try next time..
 
We mwongo sana.Ni hotelgan ya njiani nzuri kuliko ya Dar express njia ya kutoka Dar-Arusha? Huna hata haya.
 
Voice of mtwara nadhani unazungumzia wale samaki wa buku, mpaka mia tano, haha, nangurukuru

ndio mkuu, siku hizi tunasafiri kwenye bus za uhakika, maning nice, machinga, najma, buti la zungu, hamanju, baaaa na sisi ntwalaaaaaaaaa
 
ha ha ha umenikumbusha mbali sana...Chakito kama una presha lazima ufe huo mwendo sijapata kuona duh!!!

Dar express siku nyingi chaliiii. Kilimanjaro express ni zuri

hiyo CHAKITO iloandikwa "ndama jeuri" ni balaa sithubutu kuipanda tena huo mwendo muda wote abiria matumbo joto
 
Umenena hapo aisee.kuna kipindi nilikata tiketi ofisini kwao,nikawaambia ntapandia kituo cha Luguruni Mbezi mwisho,ilikua ni gari la saa moja kamili kuelekea Arusha ila mpaka saa nne gari haipiti,nikaenda ubungo wakataka waniruke eti gari ilishaondoka.Kumbe walinizuga gari ilikodishwa na wanafunzi.nilikomaa pale tukaondoka saa 7 mchana ubungo.nishida kabisa hawa.
 
ukipanda Saibaba ya mwisho hutakiwi kuwa na haraka wala hasira. Kwao mteja ni mfalme kabla hajalipa
 
Hii kampun naona ndo inaelekea kaburin kimya kimya, KILIMANJARO EXPRESS nunueni hiyo kampunI fasta
 
Bora mbakie kwa bwana Rowland Sawaya (KLM) huko kwa Mremi kushachinda kunanuka uvundo mtupu.
 
Mremi bado uko juu sana. Ondoa watendaji wabovu ktk Kampuni yako, hawa ndio wanao kuangusha.
Una Magari Mazuri na ya uhakika. Mimi si mtaalamu sana wa magari ila sijaona kampuni ina gari za Garama kama Dar Exp. Mfano wa Benz na Scania Mwanzo Mwisho.
Magari ya Kichina usalama Sifuri!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom