Dar es Salaam vs Nairobi Drone view

Naona umemea pembe uongezee mkia......

Nimeshangaa hujafika Nairobi kwa jinsi wewe hupanga mada zako ni kama hukusomea Tanzania.

Video ya pili niliileta kwa kusudi la kuonyesha hayo ma-flyover, yaani ndio leo Dar mnahangaika na flyover ya kwanza pale TAZARA wakati sisi tumechoka nazo maana zinaenendelea kujengwa.

Leo hii tumeanza michakato ya double decker kwenye Uhuru highway, picha yake hii hapa
uhuru_highway-double-decker.png
Hahaaaa shukrani lakini mimi ni mwananchi kawaida wa nchi yangu yaani nimekua na kusomea sehemu tofauti za nchi yangu kuanzia primary hadi university na zote ni public....
I know my country well nd love it

Back to the topic
nairobi ipo vizuri yaani haihitaji chapuo maana hakuna data za miji bora ya Africa ikatoka na usiisikie lakini dar is also catching up very nicely au sio jirani...

Usinikumbushe enzi hizo mwanza hata mkate mzuri ulikuwa wa nairobi na hata ukitaka kwenda dar ni lazma upitie nairobi... everything good was from kenya lakini kwa sasa na sisi tunawapa homa kiasi maana real estate and other retail businesses zipo hot in Tz..yaani hata mwanza kuna mall na nyingine zaja!!!!!!!!!!!..........

yote kwa yote napenda ukanda wetu uendelee wote ili Africa na dunia zisitujue kupitia poverty, tourism, terrorism and olympics only!!!!!......
We still hav a really long journey to go but at least the next generation wont suffer this level of shame as we do...
 
Naona umemea pembe uongezee mkia......

Nimeshangaa hujafika Nairobi kwa jinsi wewe hupanga mada zako ni kama hukusomea Tanzania.

Video ya pili niliileta kwa kusudi la kuonyesha hayo ma-flyover, yaani ndio leo Dar mnahangaika na flyover ya kwanza pale TAZARA wakati sisi tumechoka nazo maana zinaenendelea kujengwa.

Leo hii tumeanza michakato ya double decker kwenye Uhuru highway, picha yake hii hapa
uhuru_highway-double-decker.png

Na sisi tunaendelea na michakato kumaliza changamoto ya jiji leo lenye muonekano maridhawa wa chini kwa chini bila flyovers

Dar es salaam beautiful city

source: Hussein Muccadam
 
Na sisi tunaendelea na michakato kumaliza changamoto ya jiji leo lenye muonekano maridhawa wa chini kwa chini bila flyovers

Dar es salaam beautiful city

source: Hussein Muccadam

Hahahaha! Mmefanya vizuri! Dah! Huu mji sijui mtaufanya nini lakini hauna order yoyote!!
 
Mambo ya dji phantom 4 pro. One of best drones available for professional user.
P
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom