Dar es Salaam: UKAWA kuchukua 75% ya majimbo

Dar es Salaam: UKAWA kuchukua 75% ya majimbo

Noana Dar itakuwa ngome ya CUF sasa...good to know...!!!
 
Mnyika mwenyewe kakalia kuti kavu kutokana na kushindwa kutimiza ahadi yake ya kuwapatia maji wana Ubungo
 
Mnyika mwenyewe kakalia kuti kavu kutokana na kushindwa kutimiza ahadi yake ya kuwapatia maji wana Ubungo
Kwani mnyika waziri wa maji mpk alaumiwe kushindwa kuleta maji acha kelele za chura wewe.
 
Mnyika mwenyewe kakalia kuti kavu kutokana na kushindwa kutimiza ahadi yake ya kuwapatia maji wana Ubungo
moyo wako unajuwa ukweli uliyopo mbele yenu kele zako sawa na za timu ya yanga kabla ya kufungwa na simba dume!!
 
Chadema na washirika wake hawatopata wabunge zaidi ya wawili dar! Na ni wazi kuna mmoja ya mbunge anaweza poteza jimbo alilo nalo!

Hapa umefanya wanacho fanya futuhi
 
moyo wako unajuwa ukweli uliyopo mbele yenu kele zako sawa na za timu ya yanga kabla ya kufungwa na simba dume!!
Tehetehetehetehetehe! Usinifananishe na Yanga. Waliahidi kutupa mapemaaa kabla ya mchezo
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    40.8 KB · Views: 234
Chadema na washirika wake hawatopata wabunge zaidi ya wawili dar! Na ni wazi kuna mmoja ya mbunge anaweza poteza jimbo alilo nalo!

Hapa umefanya wanacho fanya futuhi
Mkuu, hao chadema na ukawa yote hata mbunge mmoja hawataambulia Dar
 
Iddi Azan alishinda kwa sababu ni mzawa wa kinondoni...na anaweza shinda tena endapo DC Makonda atakaa mbali na siasa za kinondoni.Walio karibu na Mbunge wamtaarifu na ayafanyie kazi.
 
Tungekuwa tunapanga vitu hewan na tonafanikiwa tungekuwa mbali.
Keep up
 
Kwani mnyika waziri wa maji mpk alaumiwe kushindwa kuleta maji acha kelele za chura wewe.

Alivyo tuahidi kuhakikisha maji yanaletwa alikuwa hajui kama yeye si waziri wa maji?
 
Labda siyo dar es Salaam tunayoifahamu, ninachokiona ni UKAWA kupoteza hata hivi viti vilivyopo au walivyonavyo, tofauti iliyopo kati ya upinzani na CCM ni kwamba, upinzani wanapiga kelele tu na kudanganywa na idadi ya watu walio udhuria mikutano yao, wakati CCM japo mnawabeza lakini wamekuwa wakijikita kule ambapo tunajua kuwa ndipo wanapo patia ushindi



jipe moyo
 
Back
Top Bottom