rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,442
UKAWA SASA KUCHUKUA MAJIMBO YOTE YA DAR-ES SALAAM WAJIPANGA KISAWASAWA
Taarifa zilizopo kutoka ndani ya Kamati ya ufundi inayongozwa na Makatibu wakuu wa vyama vinavyounda umoja wa UKAWA zinaonyesha mgawanyo wa Majimbvo hayo kutokana na nguvu za vyama iliyotokana uchaguzi wa serikali za mitaa.
Jimbo la UBUNGO limeangukia kwa JOHN Mnyika (mb) wa CHADEMA akiwa anatetea nafasi yake.
Jimbo la SEGEREA limeangukia kwa JULIAS Mtatiro wa Cuf mwanasiasa msomi na kijana kutokana na chama chake kufanya vizuri uchaguzi wa serikali za mitaa.
Jimbo la KAWE limeangukia kwa HALIMA Mdee (mb) wa CHADEMA akiwa anatetea nafasi yake.
Jimbo la KINONDONI limeangukia kwa ABDULLAH Kambaya wa Cuf mwanasiasa shupavu na kijana kutokana na chama chake kufanya vizuri uchaguzi wa serikali za mitaa.
Jimbo la UKONGA limeangukia kwa JOHN Heche wa CHADEMA mwanasiasa mpambanaji na kijana kutokana na chama chake kufanya vizuri uchaguzi wa serikali za mitaa.
Jimbo la KIGAMBONI limeangukia kwa JUMA Mkumbi wa Cuf mwanasiasa msomi na tajili kutokana na chama chake kufanya vizuri uchaguzi wa serikali za mitaa.
Jimbo la ILALA limeangukia kwa JAMARDINI Mkadamu wa Cuf mwanasiasa msomi mwenyea asili ya kihindi na tajili kutokana na chama chake kufanya vizuri uchaguzi wa serikali za mitaa.
Jimbo la TEMEKE liimeangukia kwa ABDALLAH Mtorela wa Cuf mwanasiasa msomi na kijana kutokana na chama chake kufanya vizuri uchaguzi wa serikali za mitaa.
MGAWANYO HUU UMETOKANA NA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA.
Kamati bado inaendelea kugawa majimbo mchi nzima kwa kutumia vigezo mbalimbali.
Tujipange kumuondoa mkoloni mweusi 2015 ni mwisho wa CCM tukajiandikishe kwa wingi.
Taarifa zilizopo kutoka ndani ya Kamati ya ufundi inayongozwa na Makatibu wakuu wa vyama vinavyounda umoja wa UKAWA zinaonyesha mgawanyo wa Majimbvo hayo kutokana na nguvu za vyama iliyotokana uchaguzi wa serikali za mitaa.
Jimbo la UBUNGO limeangukia kwa JOHN Mnyika (mb) wa CHADEMA akiwa anatetea nafasi yake.
Jimbo la SEGEREA limeangukia kwa JULIAS Mtatiro wa Cuf mwanasiasa msomi na kijana kutokana na chama chake kufanya vizuri uchaguzi wa serikali za mitaa.
Jimbo la KAWE limeangukia kwa HALIMA Mdee (mb) wa CHADEMA akiwa anatetea nafasi yake.
Jimbo la KINONDONI limeangukia kwa ABDULLAH Kambaya wa Cuf mwanasiasa shupavu na kijana kutokana na chama chake kufanya vizuri uchaguzi wa serikali za mitaa.
Jimbo la UKONGA limeangukia kwa JOHN Heche wa CHADEMA mwanasiasa mpambanaji na kijana kutokana na chama chake kufanya vizuri uchaguzi wa serikali za mitaa.
Jimbo la KIGAMBONI limeangukia kwa JUMA Mkumbi wa Cuf mwanasiasa msomi na tajili kutokana na chama chake kufanya vizuri uchaguzi wa serikali za mitaa.
Jimbo la ILALA limeangukia kwa JAMARDINI Mkadamu wa Cuf mwanasiasa msomi mwenyea asili ya kihindi na tajili kutokana na chama chake kufanya vizuri uchaguzi wa serikali za mitaa.
Jimbo la TEMEKE liimeangukia kwa ABDALLAH Mtorela wa Cuf mwanasiasa msomi na kijana kutokana na chama chake kufanya vizuri uchaguzi wa serikali za mitaa.
MGAWANYO HUU UMETOKANA NA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA.
Kamati bado inaendelea kugawa majimbo mchi nzima kwa kutumia vigezo mbalimbali.
Tujipange kumuondoa mkoloni mweusi 2015 ni mwisho wa CCM tukajiandikishe kwa wingi.