Dar es Salaam: Serikali taabani kifedha 2013/2014

Green Guard wanakatwa asilimia ngapi katika mchanganuo huu?-wamuombe tajiri wa marafiki EL awachangie,aki join forces na Rostam ishu hii ni ndogo tu wanai solve!!lakini jaman ni aibu sana Migodi ya dhahabu,makaa ya mawe,chuma,Tanzanite,Gesi mtwara,TANAPA,meno ya tembo(kinana),VAT,Simcard Tax+Obama visit in Tanzania bado serikali haijiwezi?-waiachie nchi wengine waongoze

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kwa mapendekezo ya Tume ya katiba mpya wao wanaona kwamba kufuta viti maalum kutasababisha bunge kuwa na Wabunge wanawake wachache sana, hivyo ili kuhakikisha hali hiyo haitokei ndio wamekuja na hilo pendekezo kila jimbo liwe na Wabunge wawili mmoja mwanaume na mwingine mwanamke kwa maana hiyo kuongeza idadi ya Wabunge karibu maradufu ya hawa waliokuwepo katika bunge la sasa, sidhani kama kila mkoa uwe na Wabunge wawili. Ila kama nimekosea ni kila mkoa uwe na Wabunge wawili badala ya kila jimbo basi nitasahihishwa.
Sura ya Tisa, 105 (3) "Kwa madhumuni ya Ibara ndogo 2(a), kila mkoa kwa upande wa Tanzania Bara na wilaya kwa upande wa Zanzibar, itakuwa ni jimbo la uchaguzi". Any'way turudi kwenye mada mkuu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwa mapendekezo ya Tume ya katiba mpya wao wanaona kwamba kufuta viti maalum kutasababisha bunge kuwa na Wabunge wanawake wachache sana, hivyo ili kuhakikisha hali hiyo haitokei ndio wamekuja na hilo pendekezo kila jimbo liwe na Wabunge wawili mmoja mwanaume na mwingine mwanamke kwa maana hiyo kuongeza idadi ya Wabunge karibu maradufu ya hawa waliokuwepo katika bunge la sasa, sidhani kama kila mkoa uwe na Wabunge wawili. Ila kama nimekosea ni kila mkoa uwe na Wabunge wawili badala ya kila jimbo basi nitasahihishwa.
Hivi ni kweli kwamba mbunge mwanaume hawezi kumwakilisha mwanamke and vise versa
 
Kwa jinsi hali ilivyo huku mtaani naiamini hii habari bila shaka. Ni muda muafaka kwa serikali kukiri imefilisika ili tujue tunasavaivu vipi...!
 
kwani obama hajatuachia chochote zaidi ya majanga?sasa mkulu zile safari zake za kwenda ku hemea hazijazaa matunda bado
 
hela zimeenda wapi serikali isilete masihara katika mambo ya msingi hawakusanyi kodi kwa wakubwa ndio maana by the way mi napenda serikali ya ccm ifilisike kabisa hawana maana.
 
TANESCO kifedha iko hoi bin taabani. Inaendeshwa kwa hasara kubwa kwa miaka mingi sana. Bado wanatakiwa kuwalipa mafisadi wa Richmond/Dowans bilioni 111 na bado wanabebeshwa mzigo mwingine wa kutoa 10% ya mapato yao kwa Serikali ya kifisadi!!!!
Hili la Tanesco mbona watatumaliza mama weeeee!
 
Ninapoona TANESCO nayo imo kwenye hiyo orodha ya hayo mashirika naanza kutegemea watu kutengeneza mgawo wa umeme soon.....
 
hela zimeenda wapi serikali isilete masihara katika mambo ya msingi hawakusanyi kodi kwa wakubwa ndio maana by the way mi napenda serikali ya ccm ifilisike kabisa hawana maana.

Akiba yote ilimezwa na ziara ya Rais wa Dunia Obama ebu fikiria tena haihitaji Elimu ya Chuo Kikuu hata Darasa la pili atabaini hili ! Hv kukodi Muziki yaani Mic na Speakers kwa siku mbili imegharimu Tshs Milion 194 ! ?sasa jiulize huko kwingine zimetumika tshs ngapi?kufa kufaana mgeni aje wenyeji wapone ! Lakini mgeni kaja Wajanja wamepona huku Serikari ikiachwa bila kujua Wajanja wamepenya vipi ! Hii Ndio Tanzania zaidi ya uijuavyo ! Eti hapa napo patahitaji tume
 
hela zimeenda wapi serikali isilete masihara katika mambo ya msingi hawakusanyi kodi kwa wakubwa ndio maana by the way mi napenda serikali ya ccm ifilisike kabisa hawana maana.

Akiba yote ilimezwa na ziara ya Rais wa Dunia Obama ebu fikiria tena haihitaji Elimu ya Chuo Kikuu hata Darasa la pili atabaini hili ! Hv kukodi Muziki yaani Mic na Speakers kwa siku mbili imegharimu Tshs Milion 194 ! ?sasa jiulize huko kwingine zimetumika tshs ngapi?kufa kufaana mgeni aje wenyeji wapone ! Lakini mgeni kaja Wajanja wamepona huku Serikari ikiachwa bila kujua Wajanja wamepenya vipi ! Hii Ndio Tanzania zaidi ya uijuavyo ! Eti hapa napo patahitaji tume ?
 
Serikali ina Fedha nyingi tuu. Kwa sababu wanauwezo wa Kubandua Barabara za Dar es salaam na Kuzijenga upya tena kwa kiwango cha kimataifa. Angalia Morogoro Rd, Mwai Kibaki Rd Old and New(aka Bagamoyo Road). Mikoani ndio usipime nasikia kila kijiji kinaunganishwa kwa Lami au Reli na Viwanja vya Ndege kila Mji. Miradi yote hii si Pesa ya Serikali?
Nina wasi wasi na knowlage yako. aliyekudanganya kuwa fedha zinazojenga barabara ni za serikali ni nani?
 
kama mwaka wa fedha uliopita hari ilikuwa mbaya kupindukia unategemea mwaka huu ndio itakuwa nzuri? kwa mtazamo wangu hari itakuwa mbaya zaidi ya hile ya mwaka wa fedha uliosha.
 
kama mwaka wa fedha uliopita hari ilikuwa mbaya kupindukia unategemea mwaka huu ndio itakuwa nzuri? kwa mtazamo wangu hari itakuwa mbaya zaidi ya hile ya mwaka wa fedha uliosha.
Huu utakuwa bomba tu mbona mipango ya waziri wa fedha iko njema tu lazima atavuka salama tu.
 
Akiba yote ilimezwa na ziara ya Rais wa Dunia Obama ebu fikiria tena haihitaji Elimu ya Chuo Kikuu hata Darasa la pili atabaini hili ! Hv kukodi Muziki yaani Mic na Speakers kwa siku mbili imegharimu Tshs Milion 194 ! ?sasa jiulize huko kwingine zimetumika tshs ngapi?kufa kufaana mgeni aje wenyeji wapone ! Lakini mgeni kaja Wajanja wamepona huku Serikari ikiachwa bila kujua Wajanja wamepenya vipi ! Hii Ndio Tanzania zaidi ya uijuavyo ! Eti hapa napo patahitaji tume ?
Kama unaona elimu gharama jaribu ujinga make comment yako inaonesha wazi kuwa elimu ya kuchambua mambo hunayo.
 
Back
Top Bottom